McCain JF-Expert Member Joined Dec 2, 2016 Posts 1,168 Reaction score 517 Feb 14, 2017 #1 Uko kwenye biashara yako mteja wako umemhudumia ukamaliza hatimaye mmoja anamtukana mteja mwenzake je, mwenye ofisi utakuwa shahidi wa aliyetukanwa?
Uko kwenye biashara yako mteja wako umemhudumia ukamaliza hatimaye mmoja anamtukana mteja mwenzake je, mwenye ofisi utakuwa shahidi wa aliyetukanwa?
rubii JF-Expert Member Joined Feb 22, 2015 Posts 14,106 Reaction score 18,713 Feb 14, 2017 #3 Itakavyokuwa ndivyo hivyo hivyo mkuu
Benjamini Netanyahu JF-Expert Member Joined Aug 7, 2014 Posts 102,676 Reaction score 126,848 Feb 14, 2017 #4 Lema anaendeleaje?
STUNTER JF-Expert Member Joined Dec 15, 2015 Posts 13,077 Reaction score 17,260 Feb 14, 2017 #5 Hakuna kitu cha bure awamu hii, na hakuna ushauri wa bure