NullPointer
JF-Expert Member
- Feb 7, 2011
- 3,461
- 2,267
Moja. Acha utani wewe. Mwanaume rijali 3 na kuendelea. Kula katanga mbichi, maziwa mgando, asali, tafuna mhogo mbichi, mboga na matunda na maji.
naungana na huyo jamaa hapo juu, bao la kwanza hua ni kiafya zaidi, hayo matatu ni ile basi tu tumezoea sababu ya vitamaa vyetu vya ngono... kwa mtu mwenye control nzuri bao la kwanza lenyewe atalipeleka muda mrefu hadi mwanamke anachoka... its very possible, inakua huitaji tena kwenda la pili