habari zenu? naombeni ushauri ndugu zangu, nmeolewa nina miezi mi5..kabla sijakutana na mume wangu nilikuwa na mahusiano na kaka mmoja kwa mda wa miak mi2..ndo alikuwamwanaume wangu wa kwanza...nilikutana nae nikiwa form six,
Kipindi hiko alikuwa anafanya kazi hapa dar..baada kuishi miaka mi2 ya mahusianao alipewa transfer kwenda musoma, mwanzoni tulikuwa tunawasiliana vizuri, kama mnavyojua long distance relationship ilivyo ngumu visa vikaanza akawa haniamini, wivu akipiga smu ikiwa offline anantukana tukaamua tubreak up kla mtu akachukua 50 zake...nikakutana na mwanamme mwingine ambae ndio mume wangu....
Nimemaliza chuo sina kazi, mume wangu akanitafutia kazi akanitambulisha kwa rafiki yake, ambae ndio boss wa hiyo sehem,siku nakuja kukutana na rafiki wa mume walisoma wote high school....kumbe ni x-boyfriend wangu(baada kupotezana miaka mi3), siku ya kwenda kufanya interview ikafika mume wangu akanipeleka mpk ofisini...
Alivyonishusha tu ile anageuza mi nikapanda zangu daladala nikarudi home bila taarifa na sim nikazima...nikajua atampigia sim rafikiye amwambie sijafika, kweli alimpigia akamwambia kuwa sijafika..rafiki yake akamwambia mbona nimemleta mwenyewe, sijui waliongea nini ila baadae rakifi yake anasema akampigia tena sim kumwambia ameniona na wameshanifanyia interview kitu ambacho si kweli...
Siku ile sikufanya interview lakini akamuongopea rafikiye nimefanya...baada ya siku chache nikaitwa kazini, nilikimbia interview kwa makusudi lakini nimeitwa kazini bila kufanya interview....mume wangu anajua nilifanya interview, rafikiye amemdanganya kuwa nilifanya. najiuliza kwann amemuongopea rafikiye nilifanya interview wakati sikufanya then wameniita kazini, j3 natakiwa nikareport...
Kwami sitaki kufanya kazi pamoja na x-boyfriend wangu naona hakuna mwisho mzuri, najiuliza nianz e vipi kumwabia mume wangu sitaki kufanya kazi pale lazima atauliza sababu...niimwambie ukweli km rafikiye aliwahi kuwa mpenzi wangu.... naogopa reaction yake atanichukuliaje?
Toka anitambulishe kwa x-boyfriend wangu alianza kunitumia messages za kijinga nikablock namba yake...
Naomba ushauri nmuelezeje mume wangu anielewe bila kuharibu ndoa yangu na urafiki wao?
Kipindi hiko alikuwa anafanya kazi hapa dar..baada kuishi miaka mi2 ya mahusianao alipewa transfer kwenda musoma, mwanzoni tulikuwa tunawasiliana vizuri, kama mnavyojua long distance relationship ilivyo ngumu visa vikaanza akawa haniamini, wivu akipiga smu ikiwa offline anantukana tukaamua tubreak up kla mtu akachukua 50 zake...nikakutana na mwanamme mwingine ambae ndio mume wangu....
Nimemaliza chuo sina kazi, mume wangu akanitafutia kazi akanitambulisha kwa rafiki yake, ambae ndio boss wa hiyo sehem,siku nakuja kukutana na rafiki wa mume walisoma wote high school....kumbe ni x-boyfriend wangu(baada kupotezana miaka mi3), siku ya kwenda kufanya interview ikafika mume wangu akanipeleka mpk ofisini...
Alivyonishusha tu ile anageuza mi nikapanda zangu daladala nikarudi home bila taarifa na sim nikazima...nikajua atampigia sim rafikiye amwambie sijafika, kweli alimpigia akamwambia kuwa sijafika..rafiki yake akamwambia mbona nimemleta mwenyewe, sijui waliongea nini ila baadae rakifi yake anasema akampigia tena sim kumwambia ameniona na wameshanifanyia interview kitu ambacho si kweli...
Siku ile sikufanya interview lakini akamuongopea rafikiye nimefanya...baada ya siku chache nikaitwa kazini, nilikimbia interview kwa makusudi lakini nimeitwa kazini bila kufanya interview....mume wangu anajua nilifanya interview, rafikiye amemdanganya kuwa nilifanya. najiuliza kwann amemuongopea rafikiye nilifanya interview wakati sikufanya then wameniita kazini, j3 natakiwa nikareport...
Kwami sitaki kufanya kazi pamoja na x-boyfriend wangu naona hakuna mwisho mzuri, najiuliza nianz e vipi kumwabia mume wangu sitaki kufanya kazi pale lazima atauliza sababu...niimwambie ukweli km rafikiye aliwahi kuwa mpenzi wangu.... naogopa reaction yake atanichukuliaje?
Toka anitambulishe kwa x-boyfriend wangu alianza kunitumia messages za kijinga nikablock namba yake...
Naomba ushauri nmuelezeje mume wangu anielewe bila kuharibu ndoa yangu na urafiki wao?