Naomba ushauri: Nimechoka kusoma nataka kumiliki biashara yangu

Naomba uendelea kufanya biashara na kusoma ni katika nchi hizi zinazoendelea tumejizoeza kufikiri ukiwa unasoma utakiwi kufanya kazi nyingine. Kwa mtaji huu bado kutafuta frame bado inakuwa haiwezi kukulipa maana utatakiwa kuwa na kodi ya miezi mitatu na ukishakuwa na frame makadirio ya TRA yatakuhusu na leseni ya biashara haraka haraka ni kama laki tatu itakuwa imeeisha. Fanya hivyo hivyo kujiongezea kipato tenga muda wa kusoma na kufanya biashara ikilazimika kuingia darasani jioni fanya hayo mabadiliko ukitoka hapo utakuwa na uzoefu wa kufanya kazi mbadala na utakuwa umejua hiyo biashara kwa undani na kutengeneza network kitu ambacho unakihitahi sana huko baadaye.
 
Savage94 nashukuru sana kwa ushauri wako naanza kuona umuimu wa kuendelea na masomo
Unahitaji elimu kwa gharama zote kwani hata kuandika maneno ya kiswahili hujui! BTW Kwani huwezi kufanya biashara huku unasoma? Watanzania wengi wamelishwa kasumba kuwa watu wanasoma ili kujiariwa! Hili ni kosa na ndiyo maana wengi wanaishia kukariri ili washinde mitihani na siyo kusoma ili kuongeza maarifa. Watu wanasoma ili waelimike na kuweza kupambana na mazingira ikiwemo kuwa na uwezo wa maneno kuandika vizuri!
 
Mimi ni mwanafunzi ambae namalizia elimu yangu ya biashara CBE ila kwa sasa siitaji tena kuendelea na masomo naitaji kuanzish biashara yangu binafsi na biashala ninayo taka kufanya ni biashara ya kuuza nguo za mtumba za kike japo sio mala ya kwanza kufanya hii biashara ila kwa sasa nataka niifanye kwa malengo zaidi ata kufungua branch tofauti tofauti ila paka sas nina mtaji wa laki5 ambapo nimesha nunua baadhi ya vifaa vya dukani kama midoli henga, stend ya nguo nk lengo ni kuongeza thamani katika biashara hiii na kuifanya kitofauti zaidi.

Kwa kipind cha nyuma nilikuw nauwezo wa kununua mzigo wa laki na nusu na kupata faida adi laki na30.

Nanunua jeans nzuri kwa elfu3 nauza kwa elf8 adi elfu 10 kilingana na mteja ninaye muuzia top nanunua kwa elf moja na kuuza elfu 4, gauni fupi haswa za kutokea usiku nanunua kwa elf3 au elf2 nauza kwa elf8 adi elf10.

Ukiangalia nibiashara yenye faida kwa kiasi chake ila apo sikuwa na duka maalumu nilikuwa nawauzia2 wanafunzi wenzangu kwa sas nataka nichukue frame japo sijapat bado na location ya biashara ila target yangu ni wanafunzi wa chuo na baadhi ya watu around.

Naomba ushauri kwa wenye uzoefu wa biashara nawezaje ku manage biashara yangu bila kupata hasara pia njia gani naweza kutumia ili kukuza biashara yangu ya mitumba.

Nachokushauri

Ukiendelea na masomo huku ukiendelea na masomo itakuwa nzuri zaidi utakuwa na cheti pia uzoefu wa kufanya biashara hiyo hiyo ndogo .

Kama umri wako ni mdogo below 30 yrs , stop biashara kwa muda ; tafuta kazi kwa bidii zote , ukija kupata kazi itakusaidia kujua kupitia hapo kazini kwako jinsi taasisi yako inavyoendeshwa , fanya kazi hapo kwa moyo wote , siku ukiona umeshajifunza kupitia ajira aga mwajiri wako kwa shukrani zoote ,nenda kwenye biashara yako maana utakuwa umepata uzoefu mwingine wa kazi .
Kumbuka biashara ni kazi kama kazi zingine zinahitaji nidhamu ya muda , kutunza rasilimali , kutoa huduma kwa wateja nyenzo muhimu utakapo anza biashara yako .

Kila la kheri


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Sorry nilimaanisha ukiendelea na masomo huku ukifanya biashara


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Nachokushauri

Ukiendelea na masomo huku ukiendelea na masomo itakuwa nzuri zaidi utakuwa na cheti pia uzoefu wa kufanya biashara hiyo hiyo ndogo .

Kama umri wako ni mdogo below 30 yrs , stop biashara kwa muda ; tafuta kazi kwa bidii zote , ukija kupata kazi itakusaidia kujua kupitia hapo kazini kwako jinsi taasisi yako inavyoendeshwa , fanya kazi hapo kwa moyo wote , siku ukiona umeshajifunza kupitia ajira aga mwajiri wako kwa shukrani zoote ,nenda kwenye biashara yako maana utakuwa umepata uzoefu mwingine wa kazi .
Kumbuka biashara ni kazi kama kazi zingine zinahitaji nidhamu ya muda , kutunza rasilimali , kutoa huduma kwa wateja nyenzo muhimu utakapo anza biashara yako .

Kila la kheri


Sent from my iPhone using JamiiForums
thanks
 
Naomba uendelea kufanya biashara na kusoma ni katika nchi hizi zinazoendelea tumejizoeza kufikiri ukiwa unasoma utakiwi kufanya kazi nyingine. Kwa mtaji huu bado kutafuta frame bado inakuwa haiwezi kukulipa maana utatakiwa kuwa na kodi ya miezi mitatu na ukishakuwa na frame makadirio ya TRA yatakuhusu na leseni ya biashara haraka haraka ni kama laki tatu itakuwa imeeisha. Fanya hivyo hivyo kujiongezea kipato tenga muda wa kusoma na kufanya biashara ikilazimika kuingia darasani jioni fanya hayo mabadiliko ukitoka hapo utakuwa na uzoefu wa kufanya kazi mbadala na utakuwa umejua hiyo biashara kwa undani na kutengeneza network kitu ambacho unakihitahi sana huko baadaye.
jf nizaidi ya darasa asanteni sana kwa mchango wenu nimepata kitu
 
Mleta mada, nilishakuwa na rafiki, alikuwa na kipaji cha kucheza tennis, Baba yake alikuwa engineer. Kama walivyo Waafrika wengi mzee aliamini hakuna maisha bila elimu.

Jumamosi rafiki yangu alikuwa na tuition ya maths na science wakati wenzake wana practice tennis. Alikuja kwenda university kusoma Pharmacy degree.

Sasa hivi Baba yake ni marehemu, yeye ni Pharmacist mkubwa tu na tennis anacheza kama hobby Gymkhana weekends. Anamshukuru sana baba yake kila siku.

Back to your point, maliza shule uwe na Cheti, biashara fanya kama hobby. Ikibuma cheti chako kinaweza kukukomboa.

Moo ana fanya biashara kama hobby??

Alafu mtoa mada hana target ya kuwa employed kama umemsoma, ila ushahuri wako umelenga kuwa ajiriwe.
Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Moo ana fanya biashara kama hobby??

Alafu mtoa mada hana target ya kuwa employed kama umemsoma, ila ushahuri wako umelenga kuwa ajiriwe.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Kwa Mo biashara ni hobby, passion na ajira.
 
Mleta mada, nilishakuwa na rafiki, alikuwa na kipaji cha kucheza tennis, Baba yake alikuwa engineer. Kama walivyo Waafrika wengi mzee aliamini hakuna maisha bila elimu.

Jumamosi rafiki yangu alikuwa na tuition ya maths na science wakati wenzake wana practice tennis. Alikuja kwenda university kusoma Pharmacy degree.

Sasa hivi Baba yake ni marehemu, yeye ni Pharmacist mkubwa tu na tennis anacheza kama hobby Gymkhana weekends. Anamshukuru sana baba yake kila siku.

Back to your point, maliza shule uwe na Cheti, biashara fanya kama hobby. Ikibuma cheti chako kinaweza kukukomboa.
.KITAMKOMBOAJE
 
.IVI LENGO KUU LA KUSOMA NI NINI? KUPATA CHETI?,KUAJILIWA?KUPATA MAARIFA YA KUTATUA CHANGAMOTO? AU NN HASA NAONA KAMA ELIMU HII YA TZ HAINA SPECIFIC PURPOSE
Aya mambo hayaeleweki chamuhimu fanya kulichokuleta Duniani tu.
 
Back
Top Bottom