Naomba ushauri: Nataka kurudia kidato cha tatu

Naomba ushauri: Nataka kurudia kidato cha tatu

tafuta jinsi ya kutafuta pesa achana na shule asilimia kubwa ya wasomi ni watumwa kwa waajiri wao. kusoma ni kujiingiza kwenye utumwa. TAFUTA PESA, ANZA KIDOGO, nunua vitabu vya watu waliofanikiwa soma nyumbani. Asilimia kubwa ya matajiri wakubwa duniani hawana degree wala diploma
 
kwa ushauri wang rud shule kwan unaweza ukafany vizuri kuliko mwanzo and hata kama ukapata c mbili ukichanganya na hiyo moja kwa comb kubalance unaweza kwenda 5 kwa shule ya private.
Nashukur sana mkuu
 
tafuta jinsi ya kutafuta pesa achana na shule asilimia kubwa ya wasomi ni watumwa kwa waajiri wao. kusoma ni kujiingiza kwenye utumwa. TAFUTA PESA, ANZA KIDOGO, nunua vitabu vya watu waliofanikiwa soma nyumbani. Asilimia kubwa ya matajiri wakubwa duniani hawana degree wala diploma
Nashukuru sana
 
Kama umeamua kurudia rudia masomo yite usiwe na matarajio ya chini ya jutafuta C 2 utakuwa bado hujafaulu jikaze ufaulu vizuri kwa mkao mmoja
 
Back
Top Bottom