Kichochoro
JF-Expert Member
- Jul 18, 2017
- 1,135
- 1,163
Wakuu Kama kichwa kinavyosomeka nahitaji ushauri nataka kufungua kampuni.
Naomba hasa ushauri ni kampuni gani itanilipa endapo nikifungua kwa mtaji wa 30mil namaanisha niisajili itambulike serikalin!
Naomba ushauri hasa ni ipi itanilipa!
Naomba hasa ushauri ni kampuni gani itanilipa endapo nikifungua kwa mtaji wa 30mil namaanisha niisajili itambulike serikalin!
Naomba ushauri hasa ni ipi itanilipa!