Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 29,403
- 40,321
Mafanikio ni zaidi ya mshahara, uhalimu hauna marupurupu pia network yake ni watu waliochoka...aende akawe mchumi akutane na network iliyoimara pamoja na marupurupu.
Daaaah,walimu mnawadharau sana aiseeMafanikio ni zaidi ya mshahara, uhalimu hauna marupurupu pia network yake ni watu waliochoka...aende akawe mchumi akutane na network iliyoimara pamoja na marupurupu.
Hii kada haina marupurupu mkuu zaidi ya mshahara na kipindi cha usahishaji; kutokana na magumu wanayopitia ndio maana hawazeeki haraka.Daaaah,walimu mnawadharau sana aisee
Hahaaaaaa,Daaaah,we jamaa wewe,sa huoni kutozeeka kwao haraka ndio fresh wanalive longerHii kada haina marupurupu mkuu zaidi ya mshahara na kipindi cha usahishaji; kutokana na magumu wanayopitia ndio maana hawazeeki haraka.
Yes unashushwa unaanza moja. Ni wajinga tu wanadhani eti kuwa mchumi ndiyo maisha unayalenga. Kuna vikaragosi kibao vinadhani wachumi wana hela na wakishafanyiwa recat wakiingia ofisini wananjaa utadhani ofisi ya mchumi ina hela. Kwa ufupi mwenye mtindo wa ubongo ndiyo anaweza kukubali ujinga wa kuacha kazi ya heshima ya ualimu na kwenda kufanya kazi ya majungu na haina hela kama ya mchumi.kwa sheria za utumishi mshahara wa utumishi unaweza kushushwa kweli unapopandishwa? Maana kupanda kwa daraja ndo kupanda kwa mshahara.
Hilo nadhani halipo,ngoja waje wajuvi zaidi,nadhani atafanyiwa recategorization bila kuathiri mshahara otherwise upande ila si kushuka
Wanaishi longer wapi, wanakuwa hawana hela ya kugharamia supu na mishikaki ya samaki; ukiwauliza mara ya mwisho kutumia wine ni lini, watakujibu miaka 10 iliyopita.Hahaaaaaa,Daaaah,we jamaa wewe,sa huoni kutozeeka kwao haraka ndio fresh wanalive longer
Siku za mishahara zikifika ikichelewa kutoka utawaonea huruma jinsi wanavyoulizia ulizia humu.Wanaishi longer wapi, wanakuwa hawana hela ya kugharamia supu na mishikaki ya samaki; ukiwauliza mara ya mwisho kutumia wine ni lini, watakujibu miaka 10 iliyopita.
Wengi huwa wanaomba recategorization; wapo waliokuwa waalimu sasa hivi ni maafisa, hatima ya maisha yako, yako mikononi mwako, kama hujihurumii hakuna atakayekuhurumia.Siku za mishahara zikifika ikichelewa kutoka utawaonea huruma jinsi wanavyoulizia ulizia humu.
Mei Mosi Mama Samia awafikirie kuwaongezea chochote ktk mishahara yaokwa kweli watasusa kutufundishia watoto wetu bureeeeeee
Mwambie aache ujinga akimbie haraka tena bila kuangalia nyuma aende halmashauri akawe mchumi atanishukuru baadae. Pumbavu huyo dogoNina jamaa yangu amesoma BA with Education (Economics and Commerce) Ameajiriwa kama Mwl Secondary na Mwaka jana alipanda daraja TGS E.
kuna nafasi imetokea halmashauri anayofanyia Kazi wamemwabia kama anaweza wamfanyie recategorization awe mchumi ila daraja litashuka kuwa TGS D AU wamwazime ili aendelee na cheo chake cha ualimu (Daraja alilofikia la TGS E)/
Hivyo anaomba ushauri.
Ndugu wanajamvi utamshauri nini ili achague chaguo sahihi
Angalie maslah ,huenda mshahara utashuka lkn inawezekana Kuna marupurupu kibao kwenye kuwa mchumiNina jamaa yangu amesoma BA with Education (Economics and Commerce) Ameajiriwa kama Mwl Secondary na Mwaka jana alipanda daraja TGS E.
kuna nafasi imetokea halmashauri anayofanyia Kazi wamemwabia kama anaweza wamfanyie recategorization awe mchumi ila daraja litashuka kuwa TGS D AU wamwazime ili aendelee na cheo chake cha ualimu (Daraja alilofikia la TGS E)/
Hivyo anaomba ushauri.
Ndugu wanajamvi utamshauri nini ili achague chaguo sahihi
Nashauri wamuazime tu...huku akiendlea kutafakar asichukue maamuz Kwa haraka. Ualimu Bado sio mbaya.Nina jamaa yangu amesoma BA with Education (Economics and Commerce) Ameajiriwa kama Mwl Secondary na Mwaka jana alipanda daraja TGS E.
kuna nafasi imetokea halmashauri anayofanyia Kazi wamemwabia kama anaweza wamfanyie recategorization awe mchumi ila daraja litashuka kuwa TGS D AU wamwazime ili aendelee na cheo chake cha ualimu (Daraja alilofikia la TGS E)/
Hivyo anaomba ushauri.
Ndugu wanajamvi utamshauri nini ili achague chaguo sahihi
Huo ndio ukweli wenyewe wala hajadanganya mkuuDaaaah,walimu mnawadharau sana aisee
Hapo umeongopa wapo walimu wengi tuu wanaweza hata kukuajiri wewe na wakakulipa kama kuchoka makundi yaliyo choka yapo kada zote za ajira za chini kuanzia elimu, afya , mambo ya ndani nk.Wanaishi longer wapi, wanakuwa hawana hela ya kugharamia supu na mishikaki ya samaki; ukiwauliza mara ya mwisho kutumia wine ni lini, watakujibu miaka 10 iliyopita.
Upo sahihi lakini mtazamo huo ni tofauti na mtazamo wa wengine. Fanya utafiti kwenye jamii au hata halmshauri kwenyewe walimu hawapew heshima wanayostahiliKuna muda lazima tukubali kubadirika kifikra,dunia inakwenda kasi sana mkuu,heshima ya mtu inategemeana na utendaji kazi wa mtu na sio kazi ya mtu,kila kazi ukiifanya vyema itakupa heshima,labda kama kuna tafsiri nyingine ya heshima