Lighton
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 1,904
- 3,099
Amani iwe kwenu wanaJf wenzangu.
Nikielekea moja kwa moja kwenye mada
Mimi na huyu bi dada ni wapenzi kwa takriban miaka 3 sasa, mwanzo tulikuwa tunaishi pamoja ila kutokana na majukum ya kikaz yeye akawa amehamia morogoro mim nikabaki Dar.
Sasa mwanzo alipohamia moro mahusiano yalikuwa nomo sana yaan iman yake kwangu ilikuwa kama mwanzo tulipokuwa pamoja, lakin baada ya mwaka kupita akaanza visanga.
Shida kubwa ya huyu bidada haniamin anasema anahis mim naruka na videm vya huku dar, nimejaribu kumshaur mara kadhaa kuachana na hzo hisia akawa anaelewa lakin baada ya mwezi au miezi kadhaa anaanza tena visanga.
Yaan akikuchek anataka ureply hapo hapo ukiminya dakika kadhaa tu anaanza visanga. Labda kwa kumuelezea "mpenzi wangu ni mrembo wa kwenda kabisa kuanzia sura mpaka figure. Ilitakiwa mim nimtilie shaka kwasababu wanawake type yake wanasumbuliwa sana na wanyangindo. Lakin cha ajabu yeye ndo ananitilia shaka mimi.
Juzi usiku tulikuwa tunachat akaniambya anapata shaka sana mim wanawake wa huku dar wananiiba kwasabu ya upole wangu.
"Alitumia neno kuniiba"
Nikajaribu kumuelewesha akawa amekubal lakin nilijua hakuridhika kwasababu alijibu "sawa nimeelewa inabid nikubali tu sasa ntafanyaje"
Ile kauli iliniumiza sana nikajisemea moyon dah sasa hii nini?
Napambana sana na fikra zangu kulitatua hili kwasababu nimechoka kila siku ni hayohayo tu. Nampenda sana mpenzi wang lakin tabia yake ya kutokuniamin inaniumiza sana.
Nilikuwa nampango nimwamby anipotezee kama anahis namsaliti lakin nashindwa kwasabu aliwah kuniamby siku nikimzingua hatoona sabab ya kuishi.
Wakuu kupendwa kuna raha yake lakin pia kuna karaha yake. Ningeandika mengi sana lakin najua kwa haya machache nimeeleweka vizur
Naomben ushaur ndugu zangu nifanyaje ili niepukane na haya?
Naomba kuwasilisha

Nikielekea moja kwa moja kwenye mada
Mimi na huyu bi dada ni wapenzi kwa takriban miaka 3 sasa, mwanzo tulikuwa tunaishi pamoja ila kutokana na majukum ya kikaz yeye akawa amehamia morogoro mim nikabaki Dar.
Sasa mwanzo alipohamia moro mahusiano yalikuwa nomo sana yaan iman yake kwangu ilikuwa kama mwanzo tulipokuwa pamoja, lakin baada ya mwaka kupita akaanza visanga.
Shida kubwa ya huyu bidada haniamin anasema anahis mim naruka na videm vya huku dar, nimejaribu kumshaur mara kadhaa kuachana na hzo hisia akawa anaelewa lakin baada ya mwezi au miezi kadhaa anaanza tena visanga.
Yaan akikuchek anataka ureply hapo hapo ukiminya dakika kadhaa tu anaanza visanga. Labda kwa kumuelezea "mpenzi wangu ni mrembo wa kwenda kabisa kuanzia sura mpaka figure. Ilitakiwa mim nimtilie shaka kwasababu wanawake type yake wanasumbuliwa sana na wanyangindo. Lakin cha ajabu yeye ndo ananitilia shaka mimi.
Juzi usiku tulikuwa tunachat akaniambya anapata shaka sana mim wanawake wa huku dar wananiiba kwasabu ya upole wangu.
"Alitumia neno kuniiba"
Nikajaribu kumuelewesha akawa amekubal lakin nilijua hakuridhika kwasababu alijibu "sawa nimeelewa inabid nikubali tu sasa ntafanyaje"
Ile kauli iliniumiza sana nikajisemea moyon dah sasa hii nini?
Napambana sana na fikra zangu kulitatua hili kwasababu nimechoka kila siku ni hayohayo tu. Nampenda sana mpenzi wang lakin tabia yake ya kutokuniamin inaniumiza sana.
Nilikuwa nampango nimwamby anipotezee kama anahis namsaliti lakin nashindwa kwasabu aliwah kuniamby siku nikimzingua hatoona sabab ya kuishi.
Wakuu kupendwa kuna raha yake lakin pia kuna karaha yake. Ningeandika mengi sana lakin najua kwa haya machache nimeeleweka vizur
Naomben ushaur ndugu zangu nifanyaje ili niepukane na haya?
Naomba kuwasilisha


