ni mara ya kwanza mkuu
Edson pole sana...
Ngoja nijaribu, if possible jaribuni kwanza kuacha mawazo ya hiyo mimba mpumzike ili afya ya mama ikae vizuri, stress can cause alot of problems. then tafuteni Dr. Mzuri awape ushauri wa namna ya kuendelea na uchunguzi na pia care ya mama.
Kuna wakati inatokea mtu unakua umepania sana kitu, au uko obsessed etc. kiasi kwamba ukaamini kcihwa kinauma au macho hayaoni, and this may even need clinical attention
KWA SASA JARIBUNI SANA KU-FOCUS KWENYE RECOVERY NA SIO MTOTO, HIYO STRESS ITAWASUMBUA SANA
mpka leo dalili zipo.......ila mimbahaionekani, no mkuu kama ingetoka si tungejua kaka....
..Pole sana mkuu, kwa maelezo yako inaonekana mmekuwa mkitafuta mtoto kwa muda sasa bila mafanikio, na hali hiyo imeanza kumsononesha mkeo (hili ni kawaida kutokea kwa kina mama). Kufikia hatua ya kutegeshea siku ya ovulation ndio mkutane kimwili ndio inanifanya nifikiri hivi.
Sasa kisaikolojia anaweza kuwa amejiandaa MNO kuwa mjamzito na hii ikaathiri akili yake kwa kiwango cha kutookuona/kukata hedhi. Usidharau nguvu kubwa ya vile tunavyofikiria; zipo simulizi za watu waliopooza mkono siku ya mtihani sababu tu waliamini hawawezi kufanya mtihani huo!
kama niko sahihi kuwa mnahangaika kwa muda sasa kupata mtoto; nakushauri yafuatayo:-
- take it easy, go slow. Hofu huharibu mambo zaidi, na hata kuvuruga ovulatory cycle(mzunguko wa hedhi)
- Fikirieni kufanya infertility work up....vipimo kadhaa vya kubaini tatizo (muhimu: wote mshiriki sio kusema mwenye tatizo ni mke/ au mume tu)
- Ondoeni hiyo ratiba ya kukutana siku ya ovulation; afterall mmefanya utafiti kuibaini hiyo siku exactly ni ipi? achaneni na theory za barabarani za siku ya 14 it do vary sometimes
- Furahieni ndoa yenu
- Unaweza ukani PM pia.....
Ili kuwasaidia wenye nia ya kukupa ushauri wa kitaalam eleza mmeishi pamoja kwa muda gani, mmeshazaa watoto wangapi na hiyo ni mimba ya ngapi, bila kusahau umri wako na wa mkeo. Vinginevyo utaishia kupata ushauri wa kijamii zaidi kama inavyoelekea.habari wana jf:
naomba kusaidiwa juu ya tatizo alilo nalo mke wangu.....mda ulipowadia wa kushika mimba mimi na mke wangu tulikutana kimwili......baada ya mda dalili zote za kuonyesha kuwa ni mjamzito zilianza kujitokeza ikiwa ni pamoja na hedhi kutoweka nk....yaani dalili zote za kuonyesha kuwa yu mjamzito zilijitokeza.
sasa alipokwenda hospitali kupima mimba haikuonekana.....dokta akashauri arudi baada ya wiki moja....amerudi hosp akapimwa tena pia ikaonekana mimba hakuna.....akapimwa kwa ultra sound..pia mimba haikuonekana. mpka sasa mke wangu hara raha na mimi pia najiuliza kuna nini kimetokea..vipimo vya hosp vinaonyesha hakuna mimba lakini yeye anahisi ana mimba maana dalili zote za kuwa yu mjamzito anazipata......ndugu zangu hili tatizo linaweza kutokana na nini?
naombeni ushauri kwa wale wataalam wa magonjwa ya wanawake au mwenye uelewa juu ya hili swala
I see kule Usalule kuna mzee ulimnyima ulanzi nn kaamua kufanya mazingaombwe?
Pole subiri baada ya miezi mkacheki tena.Pia anahitaji kutoliwazia sana jambo hilo.
Nakushauri mkeo akaonane na dk na aombe kupima Hormon balance,HVS.habari wana jf:
naomba kusaidiwa juu ya tatizo alilo nalo mke wangu.....mda ulipowadia wa kushika mimba mimi na mke wangu tulikutana kimwili......baada ya mda dalili zote za kuonyesha kuwa ni mjamzito zilianza kujitokeza ikiwa ni pamoja na hedhi kutoweka nk....yaani dalili zote za kuonyesha kuwa yu mjamzito zilijitokeza.
sasa alipokwenda hospitali kupima mimba haikuonekana.....dokta akashauri arudi baada ya wiki moja....amerudi hosp akapimwa tena pia ikaonekana mimba hakuna.....akapimwa kwa ultra sound..pia mimba haikuonekana. mpka sasa mke wangu hara raha na mimi pia najiuliza kuna nini kimetokea..vipimo vya hosp vinaonyesha hakuna mimba lakini yeye anahisi ana mimba maana dalili zote za kuwa yu mjamzito anazipata......ndugu zangu hili tatizo linaweza kutokana na nini?
naombeni ushauri kwa wale wataalam wa magonjwa ya wanawake au mwenye uelewa juu ya hili swala
KwA hiyo mlitiana sio?mkuu huwa tunakutana kimwili na mwenzangu kama kawaida ila tulikuwa makini katika siku zile za hatari.....sasa mda umefika tukasema sasa na tupate mtoto ndo tukakutana kimwili nza mwenzangu katika siku hizo........nabaada ya hapo ndo kama nilivyoeleza hapo juu
Mkuu mada ya 2011 umeiibua leo wakati nahisi hawa kama Mungu aliwabariki uzao sasa wanakaribia kulea mjukuu!!KwA hiyo mlitiana sio?
Ukipata muda njoo pm nikuulize mambo mawili matatu kwanzahabari wana jf:
naomba kusaidiwa juu ya tatizo alilo nalo mke wangu.....mda ulipowadia wa kushika mimba mimi na mke wangu tulikutana kimwili......baada ya mda dalili zote za kuonyesha kuwa ni mjamzito zilianza kujitokeza ikiwa ni pamoja na hedhi kutoweka nk....yaani dalili zote za kuonyesha kuwa yu mjamzito zilijitokeza.
sasa alipokwenda hospitali kupima mimba haikuonekana.....dokta akashauri arudi baada ya wiki moja....amerudi hosp akapimwa tena pia ikaonekana mimba hakuna.....akapimwa kwa ultra sound..pia mimba haikuonekana. mpka sasa mke wangu hara raha na mimi pia najiuliza kuna nini kimetokea..vipimo vya hosp vinaonyesha hakuna mimba lakini yeye anahisi ana mimba maana dalili zote za kuwa yu mjamzito anazipata......ndugu zangu hili tatizo linaweza kutokana na nini?
naombeni ushauri kwa wale wataalam wa magonjwa ya wanawake au mwenye uelewa juu ya hili swala