Edson
JF-Expert Member
- Mar 7, 2009
- 9,846
- 5,076
habari wana jf:
naomba kusaidiwa juu ya tatizo alilo nalo mke wangu.....mda ulipowadia wa kushika mimba mimi na mke wangu tulikutana kimwili......baada ya mda dalili zote za kuonyesha kuwa ni mjamzito zilianza kujitokeza ikiwa ni pamoja na hedhi kutoweka nk....yaani dalili zote za kuonyesha kuwa yu mjamzito zilijitokeza.
sasa alipokwenda hospitali kupima mimba haikuonekana.....dokta akashauri arudi baada ya wiki moja....amerudi hosp akapimwa tena pia ikaonekana mimba hakuna.....akapimwa kwa ultra sound..pia mimba haikuonekana. mpka sasa mke wangu hara raha na mimi pia najiuliza kuna nini kimetokea..vipimo vya hosp vinaonyesha hakuna mimba lakini yeye anahisi ana mimba maana dalili zote za kuwa yu mjamzito anazipata......ndugu zangu hili tatizo linaweza kutokana na nini?
naombeni ushauri kwa wale wataalam wa magonjwa ya wanawake au mwenye uelewa juu ya hili swala
naomba kusaidiwa juu ya tatizo alilo nalo mke wangu.....mda ulipowadia wa kushika mimba mimi na mke wangu tulikutana kimwili......baada ya mda dalili zote za kuonyesha kuwa ni mjamzito zilianza kujitokeza ikiwa ni pamoja na hedhi kutoweka nk....yaani dalili zote za kuonyesha kuwa yu mjamzito zilijitokeza.
sasa alipokwenda hospitali kupima mimba haikuonekana.....dokta akashauri arudi baada ya wiki moja....amerudi hosp akapimwa tena pia ikaonekana mimba hakuna.....akapimwa kwa ultra sound..pia mimba haikuonekana. mpka sasa mke wangu hara raha na mimi pia najiuliza kuna nini kimetokea..vipimo vya hosp vinaonyesha hakuna mimba lakini yeye anahisi ana mimba maana dalili zote za kuwa yu mjamzito anazipata......ndugu zangu hili tatizo linaweza kutokana na nini?
naombeni ushauri kwa wale wataalam wa magonjwa ya wanawake au mwenye uelewa juu ya hili swala