Naomba ushauri: Mke wangu mgonjwa

Edson

JF-Expert Member
Mar 7, 2009
9,846
5,076
habari wana jf:

naomba kusaidiwa juu ya tatizo alilo nalo mke wangu.....mda ulipowadia wa kushika mimba mimi na mke wangu tulikutana kimwili......baada ya mda dalili zote za kuonyesha kuwa ni mjamzito zilianza kujitokeza ikiwa ni pamoja na hedhi kutoweka nk....yaani dalili zote za kuonyesha kuwa yu mjamzito zilijitokeza.
sasa alipokwenda hospitali kupima mimba haikuonekana.....dokta akashauri arudi baada ya wiki moja....amerudi hosp akapimwa tena pia ikaonekana mimba hakuna.....akapimwa kwa ultra sound..pia mimba haikuonekana. mpka sasa mke wangu hara raha na mimi pia najiuliza kuna nini kimetokea..vipimo vya hosp vinaonyesha hakuna mimba lakini yeye anahisi ana mimba maana dalili zote za kuwa yu mjamzito anazipata......ndugu zangu hili tatizo linaweza kutokana na nini?
naombeni ushauri kwa wale wataalam wa magonjwa ya wanawake au mwenye uelewa juu ya hili swala
 
Ameacha kuona siku zake kwa mda gani? Manake kuna rafiki yangu aliwahi kuwa na tatzo km hilo, mimba haionekani ila akashauriwa asubiri mpaka miezi mi3 na alipofanya vpimo ilionekana, kuhisi kuwa mjamzito yawezekana ni hali ambayo imejijenga kisaikolojia kwa mkeo coz ni kitu alchokuwa anakihitaji, kama hajatimiza 3months aendelee kusubiri then akitimiza hyo miezi mwende mkafanye tena vipimo. Pole kwa matatizo.
habari wana jf:

naomba kusaidiwa juu ya tatizo alilo nalo mke wangu.....mda ulipowadia wa kushika mimba mimi na mke wangu tulikutana kimwili......baada ya mda dalili zote za kuonyesha kuwa ni mjamzito zilianza kujitokeza ikiwa ni pamoja na hedhi kutoweka nk....yaani dalili zote za kuonyesha kuwa yu mjamzito zilijitokeza.
sasa alipokwenda hospitali kupima mimba haikuonekana.....dokta akashauri arudi baada ya wiki moja....amerudi hosp akapimwa tena pia ikaonekana mimba hakuna.....akapimwa kwa ultra sound..pia mimba haikuonekana. mpka sasa mke wangu hara raha na mimi pia najiuliza kuna nini kimetokea..vipimo vya hosp vinaonyesha hakuna mimba lakini yeye anahisi ana mimba maana dalili zote za kuwa yu mjamzito anazipata......ndugu zangu hili tatizo linaweza kutokana na nini?
naombeni ushauri kwa wale wataalam wa magonjwa ya wanawake au mwenye uelewa juu ya hili swala
 
habari wana jf:

naomba kusaidiwa juu ya tatizo alilo nalo mke wangu.....mda ulipowadia wa kushika mimba mimi na mke wangu tulikutana kimwili......baada ya mda dalili zote za kuonyesha kuwa ni mjamzito zilianza kujitokeza ikiwa ni pamoja na hedhi kutoweka nk....yaani dalili zote za kuonyesha kuwa yu mjamzito zilijitokeza.
sasa alipokwenda hospitali kupima mimba haikuonekana.....dokta akashauri arudi baada ya wiki moja....amerudi hosp akapimwa tena pia ikaonekana mimba hakuna.....akapimwa kwa ultra sound..pia mimba haikuonekana. mpka sasa mke wangu hara raha na mimi pia najiuliza kuna nini kimetokea..vipimo vya hosp vinaonyesha hakuna mimba lakini yeye anahisi ana mimba maana dalili zote za kuwa yu mjamzito anazipata......ndugu zangu hili tatizo linaweza kutokana na nini?
naombeni ushauri kwa wale wataalam wa magonjwa ya wanawake au mwenye uelewa juu ya hili swala

Bro angalia hapo kuwa makini.
Umesema dalili zote alikuwa nazo? kama kutapika kula udongo? au kula ndimu?
Basi yawezekana mimba imeteleza imetoka. Jipange upya.
 
Ameacha kuona siku zake kwa mda gani? Manake kuna rafiki yangu aliwahi kuwa na tatzo km hilo, mimba haionekani ila akashauriwa asubiri mpaka miezi mi3 na alipofanya vpimo ilionekana, kuhisi kuwa mjamzito yawezekana ni hali ambayo imejijenga kisaikolojia kwa mkeo coz ni kitu alchokuwa anakihitaji, kama hajatimiza 3months aendelee kusubiri then akitimiza hyo miezi mwende mkafanye tena vipimo. Pole kwa matatizo.

sasa ni mwezi wa pili mkuu huu unaenda

 
Bro angalia hapo kuwa makini.
Umesema dalili zote alikuwa nazo? kama kutapika kula udongo? au kula ndimu?
Basi yawezekana mimba imeteleza imetoka. Jipange upya.

mpka leo dalili zipo.......ila mimbahaionekani, no mkuu kama ingetoka si tungejua kaka....

 
I see kule Usalule kuna mzee ulimnyima ulanzi nn kaamua kufanya mazingaombwe?

hahahaha...........we acha tu kaka.....kule mpaka nimetoka kwa mda sikuwa na shida na mtu..basi tu hata sijui ni nini hiki
 
hahahaha...........we acha tu kaka.....kule mpaka nimetoka kwa mda sikuwa na shida na mtu..basi tu hata sijui ni nini hiki

Kamanda yatakuwa mazingaombwe hapo nikukimbilia kwa Mungu tu kupiga maombi ya kufa mtu kitu kionekane.
 
Kaka vuta subira.. mambo mengine hayahitaji haraka na usilazimishe kitu ambacho umeambiwa na wataalamu hakipo. Na mimba kuoneka ndani ya miezi miwili bado kaka. Katumbo kanaanza kuchomoza at least miezi mitatu mpaka minne. Na kwa wenye matumbo mazuri itafika miezi sita ndiyo unaona tumbo. Akifikaisha miezi mitatu mpeleke tena ama waweza cheki na magonjwa mengine kama Malaria na typhord. Usije ukawa unahangaika na mimba kumbe mkeo anaumwa. Good luck.
 
habari wana jf:

naomba kusaidiwa juu ya tatizo alilo nalo mke wangu.....mda ulipowadia wa kushika mimba mimi na mke wangu tulikutana kimwili......baada ya mda dalili zote za kuonyesha kuwa ni mjamzito zilianza kujitokeza ikiwa ni pamoja na hedhi kutoweka nk....yaani dalili zote za kuonyesha kuwa yu mjamzito zilijitokeza.
sasa alipokwenda hospitali kupima mimba haikuonekana.....dokta akashauri arudi baada ya wiki moja....amerudi hosp akapimwa tena pia ikaonekana mimba hakuna.....akapimwa kwa ultra sound..pia mimba haikuonekana. mpka sasa mke wangu hara raha na mimi pia najiuliza kuna nini kimetokea..vipimo vya hosp vinaonyesha hakuna mimba lakini yeye anahisi ana mimba maana dalili zote za kuwa yu mjamzito anazipata......ndugu zangu hili tatizo linaweza kutokana na nini?
naombeni ushauri kwa wale wataalam wa magonjwa ya wanawake au mwenye uelewa juu ya hili swala

kwa kweli unaitaji:help: ngoja tuwakie wataalam zaid, lakini nikuulize swali, kwani aligonga KIKOMBE? maana ukishagonga kile kikombe NAASKIA kila utakacho pima hakitaonekana..!
 
Pole subiri baada ya miezi mkacheki tena.Pia anahitaji kutoliwazia sana jambo hilo.
 
..Pole sana mkuu, kwa maelezo yako inaonekana mmekuwa mkitafuta mtoto kwa muda sasa bila mafanikio, na hali hiyo imeanza kumsononesha mkeo (hili ni kawaida kutokea kwa kina mama). Kufikia hatua ya kutegeshea siku ya ovulation ndio mkutane kimwili ndio inanifanya nifikiri hivi.

Sasa kisaikolojia anaweza kuwa amejiandaa MNO kuwa mjamzito na hii ikaathiri akili yake kwa kiwango cha kutookuona/kukata hedhi. Usidharau nguvu kubwa ya vile tunavyofikiria; zipo simulizi za watu waliopooza mkono siku ya mtihani sababu tu waliamini hawawezi kufanya mtihani huo!

kama niko sahihi kuwa mnahangaika kwa muda sasa kupata mtoto; nakushauri yafuatayo:-
  • take it easy, go slow. Hofu huharibu mambo zaidi, na hata kuvuruga ovulatory cycle(mzunguko wa hedhi)
  • Fikirieni kufanya infertility work up....vipimo kadhaa vya kubaini tatizo (muhimu: wote mshiriki sio kusema mwenye tatizo ni mke/ au mume tu)
  • Ondoeni hiyo ratiba ya kukutana siku ya ovulation; afterall mmefanya utafiti kuibaini hiyo siku exactly ni ipi? achaneni na theory za barabarani za siku ya 14 it do vary sometimes
  • Furahieni ndoa yenu
  • Unaweza ukani PM pia.....
 
pole ndugu.....

ni muhimu sana kama mtaamua kwenda hospitali kwa ajili ya uchunguzi zaidi
 
..Pole sana mkuu, kwa maelezo yako inaonekana mmekuwa mkitafuta mtoto kwa muda sasa bila mafanikio, na hali hiyo imeanza kumsononesha mkeo (hili ni kawaida kutokea kwa kina mama). Kufikia hatua ya kutegeshea siku ya ovulation ndio mkutane kimwili ndio inanifanya nifikiri hivi.

Sasa kisaikolojia anaweza kuwa amejiandaa MNO kuwa mjamzito na hii ikaathiri akili yake kwa kiwango cha kutookuona/kukata hedhi. Usidharau nguvu kubwa ya vile tunavyofikiria; zipo simulizi za watu waliopooza mkono siku ya mtihani sababu tu waliamini hawawezi kufanya mtihani huo!

kama niko sahihi kuwa mnahangaika kwa muda sasa kupata mtoto; nakushauri yafuatayo:-
  • take it easy, go slow. Hofu huharibu mambo zaidi, na hata kuvuruga ovulatory cycle(mzunguko wa hedhi)
  • Fikirieni kufanya infertility work up....vipimo kadhaa vya kubaini tatizo (muhimu: wote mshiriki sio kusema mwenye tatizo ni mke/ au mume tu)
  • Ondoeni hiyo ratiba ya kukutana siku ya ovulation; afterall mmefanya utafiti kuibaini hiyo siku exactly ni ipi? achaneni na theory za barabarani za siku ya 14 it do vary sometimes
  • Furahieni ndoa yenu
  • Unaweza ukani PM pia.....

mkuu huwa tunakutana kimwili na mwenzangu kama kawaida ila tulikuwa makini katika siku zile za hatari.....sasa mda umefika tukasema sasa na tupate mtoto ndo tukakutana kimwili nza mwenzangu katika siku hizo........nabaada ya hapo ndo kama nilivyoeleza hapo juu

 
mwambie mkeo asiwe na wasiwasi, ajiachie kwani kama haijaingia si bado mpo? na uwezekanao wa kutafuta mimba nyingine upo???
 
habari wana jf:

naomba kusaidiwa juu ya tatizo alilo nalo mke wangu.....mda ulipowadia wa kushika mimba mimi na mke wangu tulikutana kimwili......baada ya mda dalili zote za kuonyesha kuwa ni mjamzito zilianza kujitokeza ikiwa ni pamoja na hedhi kutoweka nk....yaani dalili zote za kuonyesha kuwa yu mjamzito zilijitokeza.
sasa alipokwenda hospitali kupima mimba haikuonekana.....dokta akashauri arudi baada ya wiki moja....amerudi hosp akapimwa tena pia ikaonekana mimba hakuna.....akapimwa kwa ultra sound..pia mimba haikuonekana. mpka sasa mke wangu hara raha na mimi pia najiuliza kuna nini kimetokea..vipimo vya hosp vinaonyesha hakuna mimba lakini yeye anahisi ana mimba maana dalili zote za kuwa yu mjamzito anazipata......ndugu zangu hili tatizo linaweza kutokana na nini?
naombeni ushauri kwa wale wataalam wa magonjwa ya wanawake au mwenye uelewa juu ya hili swala

Je mkeo amewahi kushika ujauzito kabla ya hapo au hii ndo mara ya kwanza? Mna muda gani kwenye hiyo ndoa?
 
Edson pole sana...

Ngoja nijaribu, if possible jaribuni kwanza kuacha mawazo ya hiyo mimba mpumzike ili afya ya mama ikae vizuri, stress can cause alot of problems. then tafuteni Dr. Mzuri awape ushauri wa namna ya kuendelea na uchunguzi na pia care ya mama.

Kuna wakati inatokea mtu unakua umepania sana kitu, au uko obsessed etc. kiasi kwamba ukaamini kcihwa kinauma au macho hayaoni, and this may even need clinical attention

KWA SASA JARIBUNI SANA KU-FOCUS KWENYE RECOVERY NA SIO MTOTO, HIYO STRESS ITAWASUMBUA SANA
 
Bado ni mapema sana, endeleeni kuvuta subira, ikifika miezi mi3 mkacheki tena. Kweli rafiki yangu aliwahi kupatwa na tatizo kama hilo, dalil zote za mimba, akipima hakuna, ilifika mahali tukawa tunamcheka. Alipima hospitali zaidi ya moja na zote majibu yalikuwa hayo hayo. Wakati mkisubiri kupima tena fanyeni na maombi sana. Mungu awatangulie.
sasa ni mwezi wa pili mkuu huu unaenda

 
Pole kaka ila miezi 2 ni mapema sana kupima vipi kipimo cha nyumbani mmejaribu wenyewe???
 
Back
Top Bottom