Captain Lelionka
Member
- Oct 26, 2010
- 52
- 29
Asanteni
ACHANA NAYE HUYOHabari wana Jamiiforums
Nilisafiri kwa muda wa siku kama 35 nikaenda Morogoro kufanya kazi, baada ya kukaa siku kama 30 nilirudi nyumban ghafla kwenda kumsuprise mke wangu maana nilikuwa nimemmiss nilipofika nilipigwa na butwaa baada ya kugundua kahamisha nguo zake, viatu, vyombo na kila kitu alichonunua yeye pale ndani na kabakiza vitu vichache sana.
Basi baada ya kumuuliza vitu vyake viko wapi amesema amevipeleka kwa rafiki yake ambae mim simjui.. baada ya kukosa maelezo ya kutosha niliondoka nyumbani na kurudi jioni nikakuta kabeba kila kitu kaondoka.. baada ya kufatilia nikajua ameenda kanisani kwenye semina. Hakurejea kabisa nyumbani na kwa muda wa siku 3 hapatikani kwenye simu na wala sikujua yuko wapi.. hata wazazi wake pia hawajui. Baada ya siku tatu akaanza kupatikana kwenye simu yake ndio akaitwa kwa wazazi akaenda na kusema ameamua tu kuondoka maana ameona hatujafunga ndoa na tumekaa miaka 2 hivyo amechoka kudhini anataka amrudie Mungu wake. Ni kweli ndoa hatujafunga lakin taratibu za kiafrika zimefuatwa. sina shaka sana na kuchepuka kwa kuwa hana tabia kama hiyo. Kiukweli nimepata stress sana.. mpaka sasa sielewi nini cha kufanya. Naombeni ushauri
Ukishaelewa mahusiano huwa hayalazimishwi huwezi kuteseka kamwe maisha yako yote duniani.Habari wana Jamiiforums
Nilisafiri kwa muda wa siku kama 35 nikaenda Morogoro kufanya kazi, baada ya kukaa siku kama 30 nilirudi nyumban ghafla kwenda kumsuprise mke wangu maana nilikuwa nimemmiss nilipofika nilipigwa na butwaa baada ya kugundua kahamisha nguo zake, viatu, vyombo na kila kitu alichonunua yeye pale ndani na kabakiza vitu vichache sana.
Basi baada ya kumuuliza vitu vyake viko wapi amesema amevipeleka kwa rafiki yake ambae mim simjui.. baada ya kukosa maelezo ya kutosha niliondoka nyumbani na kurudi jioni nikakuta kabeba kila kitu kaondoka.. baada ya kufatilia nikajua ameenda kanisani kwenye semina. Hakurejea kabisa nyumbani na kwa muda wa siku 3 hapatikani kwenye simu na wala sikujua yuko wapi.. hata wazazi wake pia hawajui. Baada ya siku tatu akaanza kupatikana kwenye simu yake ndio akaitwa kwa wazazi akaenda na kusema ameamua tu kuondoka maana ameona hatujafunga ndoa na tumekaa miaka 2 hivyo amechoka kudhini anataka amrudie Mungu wake. Ni kweli ndoa hatujafunga lakin taratibu za kiafrika zimefuatwa. sina shaka sana na kuchepuka kwa kuwa hana tabia kama hiyo. Kiukweli nimepata stress sana.. mpaka sasa sielewi nini cha kufanya. Naombeni ushauri
Mahari ishalipwa taratibu zetu za kiafrika imeshafanyika siishi nae ile sogea tuishiTafutaa mahariii nenda kwaoo...muoeee.