Premij canoon
JF-Expert Member
- May 27, 2018
- 1,115
- 2,490
Salaams wanajamii, poleni na majukimu.
Moja kwa moja niende kwenye jambo lililonifanya hasa nije hapa.
Kuna biashara nilifanya na mtu ambae alikuja ofisini kwangu kununua huduma, tukakubaliana bei lakini akadai hana cash mfukoni hivyo analipa kwa mobile money (Airtel momey), Tukakubaliana nikampa namba ya malipo na akafanya malipo, nikampa huduma yake tukamalizana.
Siku hiyohiyo muda mfupi baadae naona txt ya AIRTEL MONEY ikisema :-
"Mteja xxxxx ameomba kurudisha muamala PP210131.xxx.B10863 wa Kiasi cha Tsh xxx.00.Pesa hii imezuiliwa, Piga *150*60# ili kuhakiki kurudisha muamala huu"
Na txt nyingine ikasema :-
"Ombi lako la kurejeshwa kwa muamala PP210131.0444.B10863 uliokosewa limetumwa Airtel"
Na nyengine pia ikasema:-
"Kitambulisho rejea TC2xxxz.0505.D15479 muamala uliopokea kwa makosa umetolewa kwenye akaunti yako. Salio jipya ni xxx Tshs."
Nikapatwa na mshangao sana, nikajua tayari hapa jamaa kanitapeli kwa uzembe wa Airtel, sikufanya chochote nikaendelea na mishe zangu ili siku inayofuata niende ofisi za airtel kuiloza na wanipe ufafanuzi ni kigezo gani kimetumila kuhakiki kama jamaa kakosea muamala, na kwanini hawajanishirikisha!
Kwenye Airtel Money kuna huduma walioiweka siku za hivi karibuni kwamba utaweza kurudisha muamala uliokosea kutumwa.
JF ni jukwaa pana. Nimewasilisha hapa kuomba ufafanuzi wa kisheria nitakaoweza kuchukua dhidi ya mwizi na Airtel kwa uzembe wao uliofanikisha mimi kuibiwa.
Nawasilisha.
Moja kwa moja niende kwenye jambo lililonifanya hasa nije hapa.
Kuna biashara nilifanya na mtu ambae alikuja ofisini kwangu kununua huduma, tukakubaliana bei lakini akadai hana cash mfukoni hivyo analipa kwa mobile money (Airtel momey), Tukakubaliana nikampa namba ya malipo na akafanya malipo, nikampa huduma yake tukamalizana.
Siku hiyohiyo muda mfupi baadae naona txt ya AIRTEL MONEY ikisema :-
"Mteja xxxxx ameomba kurudisha muamala PP210131.xxx.B10863 wa Kiasi cha Tsh xxx.00.Pesa hii imezuiliwa, Piga *150*60# ili kuhakiki kurudisha muamala huu"
Na txt nyingine ikasema :-
"Ombi lako la kurejeshwa kwa muamala PP210131.0444.B10863 uliokosewa limetumwa Airtel"
Na nyengine pia ikasema:-
"Kitambulisho rejea TC2xxxz.0505.D15479 muamala uliopokea kwa makosa umetolewa kwenye akaunti yako. Salio jipya ni xxx Tshs."
Nikapatwa na mshangao sana, nikajua tayari hapa jamaa kanitapeli kwa uzembe wa Airtel, sikufanya chochote nikaendelea na mishe zangu ili siku inayofuata niende ofisi za airtel kuiloza na wanipe ufafanuzi ni kigezo gani kimetumila kuhakiki kama jamaa kakosea muamala, na kwanini hawajanishirikisha!
Kwenye Airtel Money kuna huduma walioiweka siku za hivi karibuni kwamba utaweza kurudisha muamala uliokosea kutumwa.
JF ni jukwaa pana. Nimewasilisha hapa kuomba ufafanuzi wa kisheria nitakaoweza kuchukua dhidi ya mwizi na Airtel kwa uzembe wao uliofanikisha mimi kuibiwa.
Nawasilisha.