Jaman mm kijana nliyeingia kwenye mahusiano na binti kwa muda wa miaka 3 hv sasa lkn tangu mwez wa1 nikamuona haeleweki na ndipo nlipomfata dar kwan npo masomon moro kujua nn tatizo alicho nambia hajielew na ananiomba msamaha kwan hajickii kua na mpz ila anasictiza tuzid kuwasiliana tu kwan haelew nn kimetokea akilini mwake.nampenda kwel na skua na mwingne hvo naumia san na kukosa aman.yeye ananambia labda akili yake ikikaa vzr tutaendelea kua wapenzi na cjawah na hatujagombana,nfanyeje jamani wadau!.