Kasomi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 11,036
- 20,337
Wakuu mim Bado ni mwanafunzi hivyo napenda utunzi wa vitabu viwe vya elimu/Masomo, hadithi , uchambuzi, Siasa na mengine.
Hivyo naomba ushauri na mwongozo kua kipi nifanye kufanikisha hili.
Na nikipata ushauri muda si mrefu Utunzi wangu utaonekana hata humu
Hivyo naomba ushauri na mwongozo kua kipi nifanye kufanikisha hili.
Na nikipata ushauri muda si mrefu Utunzi wangu utaonekana hata humu