wa hapa hapa
JF-Expert Member
- Aug 20, 2014
- 281
- 150
Habari za zenu wadau. Nina Bustani yangu ya Nyanya ambayo sasa hivi miche ishaanza kutoa matunda lakini tatizo nililokutana nalo ni kwa baadhi ya matunda kuwa na hali kama ya kuoza au kuungua chini ya Tunda.
Swali ni kwamba ni kitu gani husababisha hali hiyo kutokea na nini Tiba yake
Swali ni kwamba ni kitu gani husababisha hali hiyo kutokea na nini Tiba yake