Naomba ushauri kuhusu kufunga kampuni

profesawaaganojipya

JF-Expert Member
Apr 21, 2015
1,484
3,127
Ndugu wanajukwaa naomba ushauri wa kisheria,mimi na rafiki yangu tulianzisha kampuni/bussiness,ya electrical work,share ni 50/50% kila mmoja,lakini tulitumia vyeti vyangu vya technical.

Tuna miaka mitatu,,tuna TIN number ya kampuni,kila mmoja wetu TIN number yake imegeuzwa ya biashara,tumekata leseni,lakini mpaka sasa hatujaingiza hata shilingi moja, kila mtu yuko bize na mambo yake.

Leo nimempigia simu kuwa tukafunge kampuni,ananiambia kuwa twende TRA kama kuna madeni yeye ata clear,alafu nimwachie yeye kampuni,je inawezekana?

Wakati brela tunatambulika wote,document zote zinaonyesha tuko shared,nikimwachia yeye,siku asipolipa kodi kwa mamilion,na mimi si ntatafutwa?naomba msaada namna ya kuifunga au kujitoa au kuifuta kisheria...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jibu ni ndiyo, inawezekana kumwachia kampuni huyo shareholder mwenzako. Unamuuzia yeye au kampuni share zote unazomiliki na unaondolewa kwenye ukurugenzi, kwa muda atabaki mwenyewe peke yake na baadaye atatafuta mtu mwingine wa kumiliki naye kampuni kwa kuwa ni takwa la kisheria kampuni kuwa na watu wawili na kuendelea. Nitafute PM ikiwa mpo tayari kufanya kazi hiyo.
 
Jibu ni ndiyo, inawezekana kumwachia kampuni huyo shareholder mwenzako. Unamuuzia yeye au kampuni share zote unazomiliki na unaondolewa kwenye ukurugenzi, kwa muda atabaki mwenyewe peke yake na baadaye atatafuta mtu mwingine wa kumiliki naye kampuni kwa kuwa ni takwa la kisheria kampuni kuwa na watu wawili na kuendelea. Nitafute PM ikiwa mpo tayari kufanya kazi hiyo.
Wanasheria mmekuwa cheap sana, yani unatoa ushauri mtandaoni bure, alafu tukiwadai kodi mnasema hakuna kazi?
 
Usiondoke mazima kwenye hiyo kampuni, baki na hata 20% hizo nyingine muachie alipe madeni, itakupunguzia liability, na mkuu miaka yote 3, mnatafuta kazi ama mnapiga kazi kila mtu kivyake?
Ndugu wanajukwaa naomba ushauri wa kisheria,mimi na rafiki yangu tulianzisha kampuni/bussiness,ya electrical work,share ni 50/50% kila mmoja,lakini tulitumia vyeti vyangu vya technical.

Tuna miaka mitatu,,tuna TIN number ya kampuni,kila mmoja wetu TIN number yake imegeuzwa ya biashara,tumekata leseni,lakini mpaka sasa hatujaingiza hata shilingi moja, kila mtu yuko bize na mambo yake.

Leo nimempigia simu kuwa tukafunge kampuni,ananiambia kuwa twende TRA kama kuna madeni yeye ata clear,alafu nimwachie yeye kampuni,je inawezekana?

Wakati brela tunatambulika wote,document zote zinaonyesha tuko shared,nikimwachia yeye,siku asipolipa kodi kwa mamilion,na mimi si ntatafutwa?naomba msaada namna ya kuifunga au kujitoa au kuifuta kisheria...

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
bush lawyers!
Ndio maana mnadharauliwa hata na makarani wa mahakama, sijui mmesoma vyuo gani vya miaka 3
Paralegal hawezi kumdharau lawyer wewe mama. Watu wanaomba kufahamishwa kuhusu jambo mtu akishauri unalalamika. Una roho mbaya sana wewe.

Ina maana hapa JF mtu akiomba ushauri kuhusu ugonjwa fulani akatokea doctor au mtu anaefahamu kuhusu hilo jambo na kutoa ushauri basi ni vibaya? Acha ujinga.
 
Paralegal hawezi kumdharau lawyer wewe mama. Watu wanaomba kufahamishwa kuhusu jambo mtu akishauri unalalamika. Una roho mbaya sana wewe.

Ina maana hapa JF mtu akiomba ushauri kuhusu ugonjwa fulani akatokea doctor au mtu anaefahamu kuhusu hilo jambo basi ni vibaya? Acha ujinga.

PARALEGAL MAMBO YA MAKAMPUNI WAPI NA WAPI?
unavyoniita "wewe mama" inaonyesha wewe ni msukuma na ni mtu umetoka jamii inayodharau sana wanawake, na inaonywesha wewe ni mtoto wa 5 kwa mke wa nne kati ya wake 7 wa baba yako.
inaonyesha wewe umelelewa na baba na hujui dhamani ya mama, wewe unadharau sana wanawake na mkeo ndio maana anakudharau anatombesha hata kwa mangi muuza genge.

PARA LEGAL si kutoa ushauri wa makampuni wala kisheria tena kwenye mitandao kijinga namna hiii, mtaweza sababisha mtu apate tax liability ambayo hakutarajia.
unakuwa mpumbavu kama wasanii wa bongo fleva wanao shauri watu wasio na corona wavae mask.
shithole
 
PARALEGAL MAMBO YA MAKAMPUNI WAPI NA WAPI?
unavyoniita "wewe mama" inaonyesha wewe ni msukuma na ni mtu umetoka jamii inayodharau sana wanawake, na inaonywesha wewe ni mtoto wa 5 kwa mke wa nne kati ya wake 7 wa baba yako.
inaonyesha wewe umelelewa na baba na hujui dhamani ya mama, wewe unadharau sana wanawake na mkeo ndio maana anakudharau anatombesha hata kwa mangi muuza genge.

PARA LEGAL si kutoa ushauri wa makampuni wala kisheria tena kwenye mitandao kijinga namna hiii, mtaweza sababisha mtu apate tax liability ambayo hakutarajia.
unakuwa mpumbavu kama wasanii wa bongo fleva wanao shauri watu wasio na corona wavae mask.
shithole
Hahahaha. Mazaa mimi sipo huko kabisa. Mimi sio msukuma ni mtu wa kanda maalumu ya Kaskazini. Mpaka sasa sina mke bado chalii mdogo sana ila nipo conscious sana tofauti na umri wangu. Pia mdingi wangu hana mke zaidi ya mmoja na mimi ndio mkidi wa kwanza kwetu. Thamani ya mama naijua na kukuita wewe mama sio dharau bali ni kweli wewe ni mama ndio sababu ya mimi kukuita hivyo labda kama unataka kuficha jinsia yako.

Mimi sio lawyer wala sio paralegal ila niko multidimensional sana, wengi wananiita polymathematic au homo universalis.

Anyways, paralegal ( karani) hawezi kuwa sawa laywer aliesoma sheria chuo kikuu na kusoma law school. Usidharau professional za watu kisa ukarani wako hapo mahakamani.

Kuhusu "shithole" usiende huko maana naweza kupata life ban hapa JF ukasababisha nianze kutumia ID mpya. Huko kwenye matusi, kejeli nimefuzu vizuri kwa degree ya mtaa mazaa so kausha.
 
Msukuma mama yako,ebo!
PARALEGAL MAMBO YA MAKAMPUNI WAPI NA WAPI?
unavyoniita "wewe mama" inaonyesha wewe ni msukuma na ni mtu umetoka jamii inayodharau sana wanawake, na inaonywesha wewe ni mtoto wa 5 kwa mke wa nne kati ya wake 7 wa baba yako.
inaonyesha wewe umelelewa na baba na hujui dhamani ya mama, wewe unadharau sana wanawake na mkeo ndio maana anakudharau anatombesha hata kwa mangi muuza genge.

PARA LEGAL si kutoa ushauri wa makampuni wala kisheria tena kwenye mitandao kijinga namna hiii, mtaweza sababisha mtu apate tax liability ambayo hakutarajia.
unakuwa mpumbavu kama wasanii wa bongo fleva wanao shauri watu wasio na corona wavae mask.
shithole

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahaha. Mazaa mimi sipo huko kabisa. Mimi sio msukuma ni mtu wa kanda maalumu ya Kaskazini. Mpaka sasa sina mke bado chalii mdogo sana ila nipo conscious sana tofauti na umri wangu. Pia mdingi wangu hana mke zaidi ya mmoja na mimi ndio mkidi wa kwanza kwetu. Thamani ya mama naijua na kukuita wewe mama sio dharau bali ni kweli wewe ni mama ndio sababu ya mimi kukuita hivyo labda kama unataka kuficha jinsia yako.

Mimi sio lawyer wala sio paralegal ila niko multidimensional sana, wengi wananiita polymathematic au homo universalis.

Anyways, paralegal ( karani) hawezi kuwa sawa laywer aliesoma sheria chuo kikuu na kusoma law school. Usidharau professional za watu kisa ukarani wako hapo mahakamani.

Kuhusu "shithole" usiende huko maana naweza kupata life ban hapa JF ukasababisha nianze kutumia ID mpya. Huko kwenye matusi, kejeli nimefuzu vizuri kwa degree ya mtaa mazaa so kausha.
ooh kama ni chalii wa chuga , matejoo, sokoni one, daraja mbili nakuelewa.
 
Usiondoke mazima kwenye hiyo kampuni, baki na hata 20% hizo nyingine muachie alipe madeni, itakupunguzia liability, na mkuu miaka yote 3, mnatafuta kazi ama mnapiga kazi kila mtu kivyake?

Sent using Jamii Forums mobile app
kila mtu ana kazi yake ya kuajiriwa,zinatubana sana,tunakata leseni na ina expire bila kuingiza hata shilingi,kumbuka tin zetu ni za biashara,kodi inaongezeka kila mwaka..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom