Naomba ushauri kuhusu JKT

mafrey

Senior Member
Joined
Nov 26, 2015
Posts
107
Reaction score
11
Habari zenu mimi ni mmoja kati ya wanafunzi waliochaguliwa jeshin nina tatizo la kuanguka ambalo halitambulik hospital je nikienda jeshin halafu ikanitokea watachukua hatua gan? Pia naweza kutafuta uhamisho wa kwenda ruvu kabla sijafika nilkopangiwa maana nimepangiwa kigoma plz naomba ushaur wenu kuhusu hili
 
Maelekezo yote yametolewa kwenye tangazo kuwa wenye matatizo yoyote waripoti kambi ya jkt ruvu pwani
 
Nenda dogo ukale kazi andaa nguvu kunywa maji mengi roho ielee acha mtelo kule ni kwenye kazi za watu ukitinyanga utakubali tu kaharibu kazi za watu uone
 
Maelekezo yote yametolewa kwenye tangazo kuwa wenye matatizo yoyote waripoti kambi ya jkt ruvu pwani
Nimeyaona ila tatzo langu halionekan hospital nitafanyaje wakat ruvu wanataka vyeti
 
Pole sn tatizo lako lako linapona usijali tafuta watu wakuombee ili next time usiwe na maswali mengi kuhusu lolote!
 
Pole sn tatizo lako lako linapona usijali tafuta watu wakuombee ili next time usiwe na maswali mengi kuhusu lolote!
Nashukuru sana ntalifanyia kaz my
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…