Ukijiridhisha awasiliane nami nitamu assist chochoteNina mtu anafanya kazi hapo UD, naweza mwagiza akusaidie kama wewe ni genuine, unaweza mwona? lengo ni kuthibitisha kama wewe upo hapo UD na jama una uitaji huo, niwe mkweli tu, maana watu wengi wahuni washawaliza watu humu na hili linasikitisha!
Tafuta nauli ukafanye PT kwenu I meant nyumbani kwenu Ili kuepuka gharama na madeni juu ya madeni . Zingatia itakusaidia.1.Sina mkopo kabisa
2.Bachelor of Arts with Education
3.Marafiki hawana kitu japo ndio wanaonidai hio laki mbili.
Mmoja anadai Tsh120,000
Mwingine anadai Tsh70,000
Watatu anadai Tsh30,000
Ukijiridhisha awasiliane nami nitamu assist chochote
Niko tayari kumuona.
Mimi nipo UDSM muda wowote naweza kumfuata kwa kufuata maelekezo yako.
Wazo zuri kwann ukae dar wakati huna pesaTafuta nauli ukafanye PT kwenu I meant nyumbani kwenu Ili kuepuka gharama na madeni juu ya madeni . Zingatia itakusaidia.
Daaaah hapo sina ujanjaNafanyia hapa hapa Dar Es Salaam
Asante mkuu,hata UE nimefanya wakati nina mawazo ya hali ya maisha.
Hii post unataka niorodheshe walionisaidia tangu mwanzo au sijaelewa japo nimekujibu nilifanyaje?
Mpaka mfumo unafunga ulikua wapi?,au ulitegemea za kuomba kama hivi au ulikua na option nyingine ndio imeingia mitini?Nauli ni Tsh50,000 kwenda tu.
Halafu kuna nyumba tu hakuna mtu labda kwa ndugu.
Ni gharama zaidi kuliko kubaki Hostel na kufanya field jirani na Hostel za chuo.
Mfumo wa Aris umefungwa tayari siwezi kuedit kituo.