Naomba ushauri kuhusu hili linalonisumbua

Naomba ushauri kuhusu hili linalonisumbua

jisome

Senior Member
Joined
Sep 29, 2017
Posts
108
Reaction score
94
Mm ni mwanaume Wa umri Wa miaka 27 sasa pia ni mkunga /nurse ktk ngazi ya diploma ,

Ninae mpenz ambae pia ni mkunga japo bado anasoma mdada huyu tokea tumekua ktk mahusiano yapata miaka 2 na 1/2 mambo yalikua sawa ila tu nilivyokua mbali nae kikazi amebadilika mwenendo

Tulikua tukijuliana hali, kusalimiana pia kutiana moyo ktk magum hivo basi mtu huyo saiz amebadilika saaana na Nina mpenda saana lakin yy saiz naona ule upendo Wang hauthamin tena ,

Nimejikuta namuwazia saana mpaka nafikilia kutenda vibaya ili tu nae apate maumivu kama niyapatayo sasa lakin nafsi inajirudi na ndio maana nimeamua kuomba msaada wako Wa mawazo chanya yatakayo nijenga na kuniondoa ktk hali hii jaman plz plz

USHAURI wako ni tiba tosha ya kutibu tatizo lilo nikuta coz siku wahi fikiria yaweza tokea kama niyaonayo leo
 
Pole mkuu ila huyo kaisha dakwa pengne tayar xo pamban na hali yako
 
No nimejikuta tu ninampend nishamzoea so ndio maana Leo nahisi kama kwangu balaa hili
 
Jamani nimejaribu uamzi lakin nimeshindwa hata kama nikiamua kutafta mwingine naona bado sto kua normal kama vile ningelikua nae yy
 
Mpaka sasa najiuliza sjui nifanye lipi yaan nipo njia panda afu amecheza na muda wangu Leo hii ameanza ma movie tupu
 
Kama ulikuwa unampenda sana ulikuwa wapi kumuoa hiyo miaka mi 2 na 1/2? Wacha kumpotezea muda mtt wa watu.. Hivi sasa keshapata muoaji hana tena time na mzinguaji!
 
acha kujipendekeza kwake, kwani umezaliwa naye..!!?!
na wewe mkaushie, no simu no message , au ndio mara ya kwanza unaingia kwenye mahusiano nini..!!?!
Hayo mambo yapo tu, ukiona hivyo ujue labda yuko bize na masomo au bize na mtu mwingine, sasa wewe kausha huku ukimsoma huku ukiwa na fikra za kumwacha.,.,

ukiona manyoya......
ujue kaliwa
 
Mkuu, mapenzi ni swala la muda tu, sasa ni muda wa kuongozwa na akili, acha kupelekeshwa na Moyo
 
Piga chini kwan mama ako uyo
... we jamaa bhaaana.


Mi siwamaind watu km ninyi na kesi zeenu za kisee..... izo inshu hazipo these days bro.

Ningemjua na mi ningemtembezea dudu tu... hakuna namna.

Pesa huna mtoto yuko mbali anayumba.. bado full shobo.

Jikate mwanaume tafuta kwingine unyooshe goti... ukizubaa ukakomalia utalea mtoto c wako sooon.
 
Wanaume huu ni muda wa kuacha UJINGA ..
Maana haiwezekani dume zima unalia mapenzi mapenzi mapenzi. ..
Badilika fanya mambo mengine tafuta pesa ,tafuna papuchi za kutosha muda ukifika oa utulie
 
Back
Top Bottom