jisome
Senior Member
- Sep 29, 2017
- 108
- 94
Mm ni mwanaume Wa umri Wa miaka 27 sasa pia ni mkunga /nurse ktk ngazi ya diploma ,
Ninae mpenz ambae pia ni mkunga japo bado anasoma mdada huyu tokea tumekua ktk mahusiano yapata miaka 2 na 1/2 mambo yalikua sawa ila tu nilivyokua mbali nae kikazi amebadilika mwenendo
Tulikua tukijuliana hali, kusalimiana pia kutiana moyo ktk magum hivo basi mtu huyo saiz amebadilika saaana na Nina mpenda saana lakin yy saiz naona ule upendo Wang hauthamin tena ,
Nimejikuta namuwazia saana mpaka nafikilia kutenda vibaya ili tu nae apate maumivu kama niyapatayo sasa lakin nafsi inajirudi na ndio maana nimeamua kuomba msaada wako Wa mawazo chanya yatakayo nijenga na kuniondoa ktk hali hii jaman plz plz
USHAURI wako ni tiba tosha ya kutibu tatizo lilo nikuta coz siku wahi fikiria yaweza tokea kama niyaonayo leo
Ninae mpenz ambae pia ni mkunga japo bado anasoma mdada huyu tokea tumekua ktk mahusiano yapata miaka 2 na 1/2 mambo yalikua sawa ila tu nilivyokua mbali nae kikazi amebadilika mwenendo
Tulikua tukijuliana hali, kusalimiana pia kutiana moyo ktk magum hivo basi mtu huyo saiz amebadilika saaana na Nina mpenda saana lakin yy saiz naona ule upendo Wang hauthamin tena ,
Nimejikuta namuwazia saana mpaka nafikilia kutenda vibaya ili tu nae apate maumivu kama niyapatayo sasa lakin nafsi inajirudi na ndio maana nimeamua kuomba msaada wako Wa mawazo chanya yatakayo nijenga na kuniondoa ktk hali hii jaman plz plz
USHAURI wako ni tiba tosha ya kutibu tatizo lilo nikuta coz siku wahi fikiria yaweza tokea kama niyaonayo leo