BilioneaPATIGOO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 12,320
- 11,341
Usikurupuke ndugu, embu fanya uchunguzi wa kina ujue sababu ujiridhishe, kuna factors nyingi sio tu usaliti, yaweza kua stress za familia, kazi, uchumi, au yeye mwenyewe tu hayuko sawa
Jamani nimejaribu uamzi lakin nimeshindwa hata kama nikiamua kutafta mwingine naona bado sto kua normal kama vile ningelikua nae yy
Mkuu kwa jinsi ulivyojieleza hapa nimepata picha wewe ndio unashida kidogo, umeshindwa kuprove enough kwake kama mwanaume anayeweza kuwa mume bora kwake.yaan nipo njia panda afu amecheza na muda wangu
Mkuu angaliaaa umri wake ndio tatizo na diploma yake anashindwa kujiongezaKwani mkuu ulibatizwa nae huyo dada?