Naomba ushauri kuhusu combination ya PCM

Pyredbello

Member
Feb 25, 2018
54
35
Naomba ushauri wenu wadau was JF kwa aliyesoma combination ya PCM anipe maelelezo machache kabla sijaenda kuanza masomo yangu July 2018

Mwenyezi Mungu awabariki
Ahsante
 
Iyo ni Bonge la combination , umalizapo chuo unakuwa na uwanja mpana wa kuchagua kozi za kusoma chuo kikuu, kuanzia Engineering, science mpaka biashara.

Kwenye masomo hayo ukisoma hesabu na kukomaa haiwezi kukuangusha , ukisoma kemia na kuikomalia haiwezi kukuangusha utafaulu tu.

Ukisoma physics na kukomaa mara nyingi huwa ni 50/50 msuli unaweza usiendane na matokeo.

Nilichotaka unielewe ni kuwa math& chem msuli unaendana na matokeo ya mwisho but for physics unatakiwa msuli plus kipaji cha kuchanganyua mambo.

Kwa bahati mbaya PCM guys huwa hawakamui kivile kemia na hapo ndipo wanapofanya makosa .
 
Naipenda sana PCM, jiandae mapema kwa kusoma ili ukienda shule katimize kaulimbiu ya PCM, kuwa msumbufu wa masomo, mkorofi, mpga kelele, mtu wa migomo, duuuh naipenda sana PCM na ukimaliza utapata fursa nying xana utasoma caocaote utakacho ONE LOVE
 
Kusoma sana, kutafiti sana, kutoboa sana, kama ni shule za serikali kudoji sana ili kupiga msuli mwenyewe maana darasani ni kupoteza mda walimu hakuna na hata wakiwepo hawamalizi topics kwa wakati..PCM ina vitu vingi sana vya ku cover afu mda mchache sana (2 years are not enough).

Ukikomalia CHemistry na Maths saaana lazima utoke na ukiipotezea Physics kidogo tu lazima ulambe F au E ..cha msingi kukomalia masomo yote kwa kasi japo uhakika wa kufaulu ukitia msuli ni Maths na Chemistry.

Physics uisome kwa akili na kutafakari bila kukariri...! All in all PCM ni nzuri sana inafungua akili sana .
 
Ni moja ya comb rahisi kufaulu! Ni Physics ndiyo inasumbua!

Kama uwezo wako ni average, basi ipendelee sana Chemistry kwenye ratiba yako ya kusoma kwa sababu, ukifika Firm VI, automatically utawekeza nguvu kwenye Physics & Maths.

Kwa sie vil.aza, Maths na Chemistry huwa haimtupi mtu mkono akisoma... Physics haitabiliki!

Na kv PCM wengi Maths sio tatizo, basi hii Form V wekeza sana kwenye Physics & Chemistry.

As I said, kama ni average, ukifika Form VI automatically Chemistry utainyanyapaa ingawaje ni rahisi sana kufaulu! That said, investment kubwa ya muda wako itabaki na Physics isiyotabilika lakini ambayo ulishaanza kuikomalia tangia Form V pamoja na Maths ambayo ni rahisi sana ku-catch up within 6 months.
 
Physics ni moja la somo snitch sana unapiga msuli matokeo D, Punguza mambo kijana utafanya vizur maana hiyo Combination enzi hizo kulikuwa ukiwa kwenye gari ukikaa siti moja na demu wa shule tofauti ukisema PCM basi mkifika stendi mnaishia Lodge, siku ya pili kila mtu anaenda shule yake, Ila wewe nakushauri usome.
 
5baf6c2acc590e282e3c843b7c1761d6.jpg
 
Naipenda sana PCM, jiandae mapema kwa kusoma ili ukienda shule katimize kaulimbiu ya PCM, kuwa msumbufu wa masomo, mkorofi, mpga kelele, mtu wa migomo, duuuh naipenda sana PCM na ukimaliza utapata fursa nying xana utasoma caocaote utakacho ONE LOVE
Pamoja sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom