BUMIJA
JF-Expert Member
- Oct 19, 2011
- 5,821
- 11,009
Nilianza kazi 2008 na 2011 niliondoka kusoma bila ruhusa. Nimemaliza Bachellor mwaka jana na niliripoti kituoni tangu mwezi wa8 na mshahara nikiwa masomoni ulifutwa.
TSD walinipa shitaka la utoro wa miaka2 na nikajitetea na nilikaguliwa daftari la mahudhurio na sheme mwezi December. Hadi sasa sijajibiwa na mshahara sijapewa. Nikiwa chuoni niliomba ajira mpya na kuna tetesi kua ajira mwezi ujao zinatoka.
Je nikichaguliwa mkoa mpya niende au nibaki hapa bila Salary?
TSD walinipa shitaka la utoro wa miaka2 na nikajitetea na nilikaguliwa daftari la mahudhurio na sheme mwezi December. Hadi sasa sijajibiwa na mshahara sijapewa. Nikiwa chuoni niliomba ajira mpya na kuna tetesi kua ajira mwezi ujao zinatoka.
Je nikichaguliwa mkoa mpya niende au nibaki hapa bila Salary?