Wadau habarini
Nina changamoto ya kujiuliza je nimwandikie historia ya suala langu katibu mkuu kiongozi au nimwandikie maneno gani aweze kulegeza masharti ya kuniajiri.
Nimepata barua toja kwa katibu mkuu wizara fulani inanisgauri nimwandikie katibu mkuu kiongozi Kama nilivyotangulia kusema kutokana na kushindikana kurejeshwa kazini.
Nina changamoto ya kujiuliza je nimwandikie historia ya suala langu katibu mkuu kiongozi au nimwandikie maneno gani aweze kulegeza masharti ya kuniajiri.
Nimepata barua toja kwa katibu mkuu wizara fulani inanisgauri nimwandikie katibu mkuu kiongozi Kama nilivyotangulia kusema kutokana na kushindikana kurejeshwa kazini.