Naomba Ushauri: Kati ya BMW 3 Series 2006 model na Subaru Legacy B4 Sports 2006 model

Prof Decentman

JF-Expert Member
Jul 14, 2013
276
140
Wadau salaam!

Naomba ushauri kati ya gari mbili hizo tajwa hapo juu ipi ni nzuri in terms of:

1.Utumiaji mafuta
2. Speed
3. Kudumu/Uimara
4. Spea/Service
5. Comfortability
6. Kutulia barabarani

NOTE:
Kwa mimi si mpenzi wa Toyota, naomba nisipewe ushauri wowote kuchukua gari ya Toyota kama mbadala. Kwa wale wajuzi wa gari hizi naomba ushauri wenu.
Mfano wa magari yenyewe ni kama haya hapa chini:

Screenshot_2017-01-16-12-14-07.png
Screenshot_2017-01-16-12-16-40.png
Screenshot_2017-01-16-12-14-11.png
Screenshot_2017-01-16-12-16-43.png
 
Wadau salaam!

Naomba ushauri kati ya gari mbili hizo tajwa hapo juu ipi ni nzuri in terms of;

1.Utumiaji mafuta
2. Speed
3. Kudumu/Uimara
4. Spea/Service
5. Comfortability
6. Kutulia barabarani

NOTE:
Kwa mm si mpenzi wa toyota naomba nisipewe ushauri wowote kuchukua gari ya toyota kama mbadala. Kwa wale wajuzi wa gari hizi naomba ushauri wenu.
Mfano wa magari yenyewe ni kama haya hapa chini:
Huo ni ushauri au majigambo?!. Watu bwana...
BMW 320i daah mwaka huu naivuta ndani
 
Wadau salaam!

Naomba ushauri kati ya gari mbili hizo tajwa hapo juu ipi ni nzuri in terms of;

1.Utumiaji mafuta
2. Speed
3. Kudumu/Uimara
4. Spea/Service
5. Comfortability
6. Kutulia barabarani

NOTE:
Kwa mm si mpenzi wa toyota naomba nisipewe ushauri wowote kuchukua gari ya toyota kama mbadala. Kwa wale wajuzi wa gari hizi naomba ushauri wenu.
Mfano wa magari yenyewe ni kama haya hapa chini:
Nina njaa mimi usiniulize hayo...
 
Huo ni ushauri au majigambo?!. Watu bwana...
Wacha ubwege wewe. Nenda kwa car dealers wakushauri! Husituletee ubishoo hapa!
Wadau salaam!

Naomba ushauri kati ya gari mbili hizo tajwa hapo juu ipi ni nzuri in terms of;

1.Utumiaji mafuta
2. Speed
3. Kudumu/Uimara
4. Spea/Service
5. Comfortability
6. Kutulia barabarani

NOTE:
Kwa mm si mpenzi wa toyota naomba nisipewe ushauri wowote kuchukua gari ya toyota kama mbadala. Kwa wale wajuzi wa gari hizi naomba ushauri wenu.
Mfano wa magari yenyewe ni kama haya hapa chini:
 
Back
Top Bottom