Mankumbi Mweni
Member
- Jan 9, 2014
- 5
- 2
Kama ana miaka 39 na hatakushirikisha malezi ya mtoto kwa nini katika wanaume wote duniani akuchague wewe? maisha yake yasikuhusu. Usidanganyike kuwa unaweza kuzaa na mtu mwingine halafu ukaendelea na maisha kama hakuna kilichotokea. Kama unataka mtoto wa 4 kazae na mkeo. Halafu unajua kuwa ni vibaya ndo maana umesita.