Naomba ushauri kabla cjafanya maamuzi..??

Naomba ushauri kabla cjafanya maamuzi..??

Mimi nimeoa na tumejaliwa watoto 3 mimi na mke wangu na Mungu. Kuna mrembo mmoja tuko naye ofcn kwa muda mrefu sasa. Juzi alinishangaza wakati tunakula chakula cha mchana katika mgahawa mmoja aliniambia anataka kuzaa na mimi japo mtoto mmoja kwakuwa umri wake sasa umekwenda (39 years) na hajapata mtu wa kumuoa kutokana na watu kumuogopa kutokana na elimu yake (Ph dada)..Sasa naomba ushauri wenu nifanye maamuzi gan?? NIpeni ushauri tu sio maneno ya ovyoovyo....nilimwambia nitamjibu asubiri kidogo....


Zaa naye tu kaka, coz inawezekana hata hao watoto watatu sio wa kwako
 
Angalizo:

1. Kama unamwogopa Mungu, na kama unampenda Mke wako kweli kweli.....hutazaa naye KAMWE.

2. Otherwise, kama wewe ni Muislam umwoe ili awe mke wako halali wa pili ili mpate kuzaa viumbe halali mbele za wanadamu na Mwenyezi Mungu; na

3. Kama wewe ni Mkristo, basi sahau hilo suala kwakuwa hakuna ndoa mbili kwa wakati mmoja.

Nakutakia kazi njema, na uvishinde vishawishi vya huyo dada (old woman (39yrs)....by keeping good love and companion to your good wife.
Aiseeh...umempa ushauri safi sana. Eti anaomba ushauri! Anataka kuhalalisha ukora.
 
Pole sana best. Ndio ivo mtu mwenye watoto watatu anawaza kwa ulimwengu huu wa kileo. Mppss! bora ingekua mseja kama sie ningejua ujana bado.

Hawazi juu ya usaliti ulio mbele yake, hawazi hatma ya wanawe na familia, hawazi uhusiano na Mungu anayemshukuru kwa kumpa watoto watatu, hawazi yatokanayo na hicho anachoombwa, hawazi......... anaona huruma tu kwa Dr.

maaaaamae!!
sosi Karucee
 
Kama ulivyosema wewe una mke na watoto wa3 na huyo mrembo anataka kuzaa na wewe basi we zaa nae tu haina tatizo lolote.
 
Pole sana best. Ndio ivo mtu mwenye watoto watatu anawaza kwa ulimwengu huu wa kileo. Mppss! bora ingekua mseja kama sie ningejua ujana bado.

Hawazi juu ya usaliti ulio mbele yake, hawazi hatma ya wanawe na familia, hawazi uhusiano na Mungu anayemshukuru kwa kumpa watoto watatu, hawazi yatokanayo na hicho anachoombwa, hawazi......... anaona huruma tu kwa Dr.

thanks for understanding!!
 
Aisee nitamwambia lakin dar cjui nianzaje..manake amesema kuhusu mtoto kila kitu atagharamika yeye...
PHD YAKE SI AJABU NI YA TABIA ZA VYURA NA MIMNYOO,AU KUTU KATIKA VYUMA !MTU MWENYE PHD YA HUMANITIES HAWEZI KUWA MJINGA HIVO ANAFIKIRI MALEZI YA MTOTO NI MATERIAL TU ------- SANA !
yeye amekosa ndoa sasa anatak vunja za watu
MWAMBIE NIMPLEKE KIJIJI CHA WAVUVI MBWENI KUNA VIJANA WAUZA PWEZA WANATOA HUDMA ZA KUAWAFIKISHE KILELENI KINAMAMA WANAOKOSA HUDUMA KWA WAUME ZAO....ANAWEZA AKAONGEZA DAU WAKAMPIGA MIMBA ATULIE!
 
ndo haya tuliyokuwa tunasema
ss ww una mke kinachokufany uzae na hyu ni nn?c ndo kutaka kuumizana huko?

na huyo ana akili kweli!!!!anajua ww mume wa mtu km sio kumtafutia mwenzie shida?
 
Duh siku hizi watu wanakuwa kama wanaupdate status sehemu. Sioni kama kuna suala ambalo linaweza kuwafanya watu waumize kichwa maana liko nje ya himaya yako kwa maana nyingine unataka watu wakuambie ufanye uzinzi au usifanye?
 
Kuna mrembo mmoja tuko naye ofcn kwa muda mrefu sasa. Juzi alinishangaza wakati tunakula chakula cha mchana katika mgahawa mmoja aliniambia anataka kuzaa na mimi japo mtoto mmoja kwakuwa umri wake sasa umekwenda (39 years) na hajapata mtu wa kumuoa kutokana na watu kumuogopa kutokana na elimu yake (Ph dada)..Sasa naomba ushauri wenu nifanye maamuzi gan?? NIpeni ushauri tu sio maneno ya ovyoovyo....nilimwambia nitamjibu asubiri kidogo....

Juzi alikushangaza...

Leo upo JF unaomba ushauri wa nini ufanye...

Nadhani kesho utakuwa na huyo kimwana Chemchem Guest House mkitengeneza kizygote...
 
Aaaaah umenifurahisha, hapana ila nilikuwa naomba ushauri c unajua madada nyie mko wachache na mwenzenu ndo anakaribia ufote huo....mwishowe ataambiwa awezi shika mimba tena kutokana na umri..

Kumbe sie ndio tuko wachache?
Basi mradi wewe uko booked already acha naye atapata wake aliye free katika nyie mlio wengi.
 
Mbegu si zako kaka? Basi amua kama umgawie au usimpe. Mpaka hapo hata wewe unantamani huyo dada, sema hujielewi tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom