Nyoka_mzee
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 3,695
- 5,548
Pole sana mkuu mungu akupe tahfif katika kipindi hiki kigumu,Mimi ni mwajiliwa wa taasisi fulani inayohusika na maswala ya ununuzi, nimeajiriwa tangu mwaka juzi. Tatizo nililonalo ni huyu boss wangu amekuwa ni mtu wa hasira sana ukikosea kidogo tu lazima achukue siku nzima kukusema na yupo radhi hata wekeend akupgie simu mtoke wote ila mkifika kwanye huo mtoko lazima akuanzishie mambo ya ofisini na kukusema tena kibaya zaidi ukimjibu ndo anazidisha mara ooh mpumbavu we hutumii akili yani inshort napata wakati mgumu natamani kuacha kazi ila nashindwa kwan familia inantegemea.
Nimejiuliza kwa watu wake wakaribu wanadai sio wewe tu ndivyo alivyo kwani ni mtu anayeamini yuko sahihi kwa kila kitu na pia jeuri ya fedha inampa kiburi
Tafadhari naomba ushauri wenu nifanyeje ili niweze kuendana na huyu boss wangu.
take easy mkuu kikubwa ushamuelewa ni mtu wa aina gani mbona hayo mambo yako sana tu mkuu wala usifikirie kuacha kazi la msing tu tambua yule ni bosi wako na ww ni mfanya kazi tu wa kawaida so fuata ya kwako chukulia tu hio kama changamoto yakukufunza tu na ww utafute mkwanja ili uondokane na manyanyaso ya kishamba kama hayoMimi ni mwajiliwa wa taasisi fulani inayohusika na maswala ya s wangu.
Hahahahahaha= mwajiriwa
= tafadhali
Kwa mwandiko huo tu unaonesha uko "bogus".
Kama unabisha wewe siyo "bogus" basi tuwekee hicho ambacho unaona hujakosea na "boss" wako akakulaumu bila yeye kuwa sahihi.
Nnauhakika hutoweza kukiweka, that's how much bogus you are.
Faiza fox my dada leo hauko sawa huyu anaomba ushaur na wala hujataka kujua kazi yake kama ni kubeba zege inahusiana nini na kuandika anaomba ushaur msaidie= mwajiriwa
= tafadhali
Kwa mwandiko huo tu unaonesha uko "bogus".
Kama unabisha wewe siyo "bogus" basi tuwekee hicho ambacho unaona hujakosea na "boss" wako akakulaumu bila yeye kuwa sahihi.
Nnauhakika hutoweza kukiweka, that's how much bogus you are.
mmh mtoto wa kiume OUTING HIZO angalia isije ikawa anataka 0713 aka mtandao wa kijanja zaidiMimi ni mwajiriwa wa taasisi fulani inayohusika na maswala ya ununuzi, nimeajiriwa tangu mwaka juzi.
Tatizo nililonalo ni huyu boss wangu amekuwa ni mtu wa hasira sana ukikosea kidogo tu lazima achukue siku nzima kukusema na yupo radhi hata weekend akupgie simu mtoke wote ila mkifika kwanye huo mtoko lazima akuanzishie mambo ya ofisini na kukusema tena kibaya zaidi ukimjibu ndo anazidisha mara ooh mpumbavu we hutumii akili yani inshort napata wakati mgumu natamani kuacha kazi ila nashindwa kwan familia inantegemea.
Nimejiuliza kwa watu wake wakaribu wanadai sio wewe tu ndivyo alivyo kwani ni mtu anayeamini yuko sahihi kwa kila kitu na pia jeuri ya fedha inampa kiburi
Tafadhali naomba ushauri wenu nifanyeje ili niweze kuendana na huyu boss wangu.
Hivi huyo DC amejiajiri?DC hapi alisema kuajiliwa ni sehemu ya utumwa, kwa hiyo ukikubali utumwa vumilia, ukitaka uhuru kuwa mjasiriamali
Mabosi limbukeni ndo wanatabia za kifoo kama hizo.Pole sana... Hizo tabia wanazo maboss karibia wote... hata wewe ukija kuwa boss utaona jinsi utakavyuokuwa... Vumilia kwa sasa...