AganoJipya
Member
- Jan 24, 2019
- 29
- 37
Natumaini mko poa,
Niingie kwenye mada me ni mwanafunzi wa elimu ya juu nipo hapa mjini niseme baada ya pita pita zangu kwenye mitandao ya kijamii nikakutana na tangazo la ujasiliamali motion in grobal nikahitaji kujua zaidi wanadeal na nini haswa.
Hivyo nikaanza kufuatilia nini wanachofanya hasa katika field ya ujasiliamali kwa kua nashauku ya kufanya shughuli yeyote ya kujiingizia kipato hapa mjini sikuona shida kuhudhuria semina yao ya kibiashara ila hapo kwenye semina jamaa wanajipambanua sana namna ya kufanya biashara kupitia networking marketing na kwa kila mwanachama minimum requirement ni 500000tsh ila kwangu mimi nakuhudhuria kote hizo semina bado ufanyazi kazi wa system yao haujaniingia akilini mana nahisi kupigwa pigwa hivi.
Na ukizingatia me ni mwanafunzi swali ninalojiuliza nikipigwa hizo pesa ntaishije hapa mjini.Wakuu naombeni ushauli juu ya hii fursa
#@aganoJipya
Sent using Jamii Forums mobile app
Niingie kwenye mada me ni mwanafunzi wa elimu ya juu nipo hapa mjini niseme baada ya pita pita zangu kwenye mitandao ya kijamii nikakutana na tangazo la ujasiliamali motion in grobal nikahitaji kujua zaidi wanadeal na nini haswa.
Hivyo nikaanza kufuatilia nini wanachofanya hasa katika field ya ujasiliamali kwa kua nashauku ya kufanya shughuli yeyote ya kujiingizia kipato hapa mjini sikuona shida kuhudhuria semina yao ya kibiashara ila hapo kwenye semina jamaa wanajipambanua sana namna ya kufanya biashara kupitia networking marketing na kwa kila mwanachama minimum requirement ni 500000tsh ila kwangu mimi nakuhudhuria kote hizo semina bado ufanyazi kazi wa system yao haujaniingia akilini mana nahisi kupigwa pigwa hivi.
Na ukizingatia me ni mwanafunzi swali ninalojiuliza nikipigwa hizo pesa ntaishije hapa mjini.Wakuu naombeni ushauli juu ya hii fursa
#@aganoJipya
Sent using Jamii Forums mobile app