Naomba ushauri jamani

Aiseee sijui hata wa wapi wengine tunahangaika na maisha na kulea familia bila msaada halafu yeye anachezea nafasi kama hii..kweli akili ni nywele.
mxxiiuuuuu
yaani nimekasirika utafikir nn, huyu mwanamke ametokea sayari gani? sisi wengine hata hela ya mboga hatupewi yeye anachezea hela ya ujenzi, mxxxxiuuu
 
Je ktk ugonjwa wako,anaonyesha kujali?au ni ilimradi tia maji tia maji.kama anakujali basi ni hali tu itapita,ila km ktk kuugua kwako hajitumi bs huyo ni mwanamke mpmbavu na ataibomoa nyumba yake mwenyewe
 
Hapana hapo naona kama unakosea kuwa kichwa cha familia sio kwa kutafuta pesa pekee bali ni uwezo wa kuongoza mambo ndani ya nyumba,kwa mfano hapo kwenye ujenzi wa nyumba usingetakiwa umwachie majukumu yote hata kama ni kwa mapenzi tuu..bali ungepaswa mshirikiane..ila inaonekana kuna mengi yaliyokufanya ufikie uamuzi wa kuachana nae..siwezi kukupinga wala kukuunga mkono
Nadhani ukichwa wa familia ni uwezo wa kutafuta pesa, huo uwezo ninao mkubwa sana na unaongezeka kila siku,
 
Anyway. Nimekuta anachat na wanaume wawili tofauti, akiwatumia na picha kuonyesha mwili wake.

Duh pole kaka.....huhitaji kamati hapo....maliza mambo mwenyewe... mengine yataendelea tuuu.
 
Dah!
Mkuu pole sana

Nijuavyo mimi ni kuwa sina hakika kama alikuwa mwema tangu mwanzo ila alikuwa ana act tu

Cha kufanya ninachoona kwasasa ni kujaribu kuchunguza kama hapo mwanzo alikuwa na tabia hizi maana kujua mwanzo kama alikuwa na tabia hizi utatuzi wa tatizo hili utakuwa tofauti

Kama hakuwa hivyo mwanzo ni hapo utakapoanzia kutafiti kilichomfanya akawa hivi

Ila ki ukweli mke bora na anaefaaa ni yule anaejijua na kujua yeye ni nani
Kitendo cha wewe kumuamini kiasi hicho kinaweza kuwa kimemharibu kabisa

Yaani hata sijui niseme nini
Hii imeniumiza sana kwa kweli

Hebu ngoja nitafakari huenda nikaja na maelezo mazuri zaidi.......!!!
 
dah bro najua unapata tabu sana na hilo hapo usiite familly na kuwapa faida nyingi ukizingatia kwamba mke ni wewe ndie ulie mchagua mwiite shemegi mkae chini nyonte wawili muwe wa wazi kabisa muliongelee hilo suala halafu pima akili yake oune kama yupo tayari kubadilika basi anzeni ukurasa mwengine hayo ndio maisha huo ndio ukubwa ukiongea nae usiwe na jazba na ukiona humuelewi elewi basi mkuu hapo kuna jambo nakutakia kila la kheri ila na wee pia punguza kutoka toka sana au kukawia kurejea home hivyo ndio vitu ambavyo wake zetu hua ndio vina sababisha waingiwe na fikra potofu na gafla unaona wanabadilika
 

Amu, umenena.

Japo sikubaliani nawe kuhusu 'udungaembe🙂!

Truly truly I tell you... Hakuna holistic solution for every marriage situation! Ndoa zingine mshahara wa mume aujua yeye tu, mke haujui and as far as matumizi (Development & Recurrent) vinaenda vizuri hakuna 'matata'. Ndoa zingine Mama na baba wajumuisha mapato yao bila kificho na mambo hayaendi. Ndoa zingine baba ampenda mama na ampa mshahara/mapato yote na mambo hayaendi, etc, etc..

Kwako Sangarara kilichokukwaza sana katika 'episode' hii ni picha za utupu kwa wanaume wengine ukiwa umemwamini sana sana sana mwandani wako mpenzi. Kwa hili sina ushauri wa kijasiri ndugu yangu. Ila Amu ameshauri uandike kwa utulivu matukio yote unayodhani yaliashiria matumizi mabaya, maamuzi mabaya na yasiyo shirikishi, na kadhalika. Ikitokea mmeenda katika kikao cha kujadiliana, wewe soma 'hotuba' yako kama Ben Mkapa kwani utakuwa umeiandaa na kuihariri kwa muda na hivo itakuwa imepunguza unnecessary emotions but facts.

I wish you a happy ending, brother!

PP
 
Siwezi kushauri uachane naye, lakini ndo option pekee ambayo itakufanya urudi kwenye mstari.
Kama unasoma vitabu vya dini zote mwanamke ametajwa kama kiumbe dhaifu na maandiko yameenda mbali zaidi kwa kusema kuwa inatakiwa tuishi nao kwa akili. Mwanamke hawezi kusalimika kama atakuwa anafanya kazi ambazo muda mwingi zitamkutanisha na wanaume na hilo wanaume tunalijua ingawa huwa tunajiaminisha kuwa wa kwangu hawezi kunisaliti kwa kuwa ni mwaminifu. Mwanamke hatakiwi kuwa karibu na mwanaume na kuzoeana naye kwa njia yoyote ile, hata rafiki yako wa kiume kama anakuja nyumbani kwako haupo anakaa anakusubiri mara ya tatu atamtania mkeo, nadhani unajua nini kitafuata, kwa aibu ataambiwa hivi na wewe unaweza kunifanyia hayo?
Mwanamke akishakuwa na kipato chake mwenyewe cha kuweza kujitoshereza mahitaji, wanaishi na waume zao asilimia 20 hawafiki. wengine huwa wanadiliki kuwauwa waume zao kwa kuona hawana maana tena na wanawanyima uhuru.
Hayo maneno aliyokwambia na kuchati na watu na kuwaonyesha nyeti zake kurudi nyuma mpaka maombi, lakini si ushawishi wa wazee. Tuombe Mungu mrudiane, lakini ufanye juu chini wewe ndo utawale kipato cha familia na siyo yeye, huo ndo uanaume.
 

kabisaaaa Eiyer alikuwa ana act ili aolewe
 
Eiyer huyu mke wa mleta thread enz za uchumba wao alikuwa anact as u said. Hawez akaolewa then tabia ibadilike ghafla.
 
Last edited by a moderator:
duu mkuu pole sana,huyo mtoto wa moshi atakusumbua sana kama umeamua we piga chini maisha ya songe kama zamani.
 
M najiuliza kwann during uchumba awe anajali matumiz ya pesa then baada ya kuolewa asiwe mtu wa kujali pesa?

Wanawake ni wazuri sana wa ku act siku hizi...!!!!!!!!!!
 
Aisee mwanaume wa kisukuma DILII EEH...
Unachezea kutafta ndoa wew,lazma ufiche u'golddigger ujitofautishe na wanawake wengi wapenda pesa...utazila vizuri ukisha olewa,ndoa si yako bwana
MTOA MADA,hela mpe na umtimizie mahitaji yake kama wife,BUT HAYO MAMBO YA UJENZI,SIMAMIA WEWE,AU IPE KAMPUNI IWAJENGEE,ishi nae cz tyr mshaoana but fatilia ya mmsingi na maendeleo kwenye familia yako...
 

kaka ulifanya haraka sana kumkabidhi majukumu makubwa kama hayo ambayo humfanya mtu ajiamini kupitiliza juu yako..
Kuhusu picha maybe ni kweli anacheat ila pata data kamili kwanza ili kama utaweza kumuonya ufanye kwa uhakika bila ya yeye kujitetea...
Mwisho kaa nae ongea nae mueleze kila kitu hasa maamuzi yako ambayo unataka kuyafanya ili ajue kama hatabadilika kinachofata ni nini..
Kama unataka kulinda ndoa yako jaribu kufanya hayo ila kama umeshamchoka basi fanya yako.
 
Dah,pole sana bro.cna uhakika km alikua ana-act
Tatzo la wanawake ni 1 tyu...anamthamini anayemnunulia vocha kuliko yule alemnunulia simu.
Hapo lazma kuna mtu anampa jeuri tyu...fanya uchunguzi kwa ilo then utajua tyu
 

Kiongozi
huyu mwanamke kabadirika, hakuwa hivyo, kabadirika kwa maneno na matendo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…