Naomba ushauri: Dini inavuruga uhusiano wetu

Naomba ushauri: Dini inavuruga uhusiano wetu

Shunie pole kwa kutoamniwa na bonny, me hum JF huwa naamini mtu akizungumzia vitu flani kwa sababu unakuwa humfaham mhusika. Ila mnavyobishana hivyo naona km mlikuwa mnafahamiana kona mnazopitia ndo mana bonny amekuwa mbishi sn
ha ha ha ha et shunie sikuamin kwel mim namuamin bana nilikua nachangamsha genge tu hapa huyu mke mwemaaaaaaaaaaa kabisaaaa.
 
Piga chini kwani hamtakuwa na amani katika ndoa yenu.Tafuta wa dini yako au mpagan ambae ni rahisi kumfanya afuate dini yako.
Achana nae kwani huyo wala usijilaumu kumkosa kwani warembo ni wengi sana nchi hii na ukikosa hapa tz nenda hata kwa PK au Kabange kabila
 
Mapenzi hayachagui dini wala kabila, kama Anakupenda kweli huwezi kukataa kaolewa eti sababu ya dini, akikataa jua hakupendi.
 
Tatizo mjomba yake ambaye ana cheo cha shehe wa kata katika kata yetu yeye kawa kikwazo ila mzazi wake wa kiume na binti karidhia kubadili dini
 
Jamani kuna binti tulikubaliana kuja kuishi mke na mume sasa pingamizi kubwa ni dini yeye ni muislamu.

Naomba ushauri nifanye nini katika hali hii.
Dini sio kikwazo, kikwazo ni nyie wenyewe hampendani kikweli. Kwani ni watu wangapi wameoana na wapo dini tofauti na wanapendana kikweli?
 
Kwangu ilinitokea hivyo nikamwambia basi kaendelee kuswali na mimi niendelee kutafuta aliye tayari. I don't want to follow but I want to be followed. Ova.
 
Aisee jambo la dini msipoliweka sawa litawasumbua sana.....yaan mlitakiwa mkubaliane kabisa kabla ya kuanza kuishi kama mme na mke....na mwanume lazima uwe na msimamo
 
Back
Top Bottom