Naomba ushauri: Dini inavuruga uhusiano wetu

Naomba ushauri: Dini inavuruga uhusiano wetu

Bwanga manyanga usilimu tu,kipendacho roho hula nyama mbichi
 
Ha ha ha ha kwahyo unataka nkuamin mama mkono mtupu haulambwi.... unaweza Kua sio cha kengele ila busara zako ni za msimu kama embe ng'ong'o
mfyuuuu utakaponiona na pete mkononi ndio utaniamni we endelea
 
fanya juu chini umdunge mimba. ikishaingia mjali kupita maelezo kipindi choote cha ujauzito but usiruhusu kuzungumzia masuala ya dini. mtoto akishazaliwa wenye akili na upeo watakiwa.washajua nini kinafuata. hakuna stress hapo ww jamaaa
Haya maamuzi ndio baadae huwacost watoto.
 
ha ha ha ha ha nmekuamin bas ustume tena picha
Shunie pole kwa kutoamniwa na bonny, me hum JF huwa naamini mtu akizungumzia vitu flani kwa sababu unakuwa humfaham mhusika. Ila mnavyobishana hivyo naona km mlikuwa mnafahamiana kona mnazopitia ndo mana bonny amekuwa mbishi sn
 
Back
Top Bottom