Naomba ushauli; simu bora kwa mwanachuo

Naomba ushauli; simu bora kwa mwanachuo

Chuoni inahitajika laptop ili uweze kusoma notes na u-type kazi zako vizuri na kwa uharaka.
Huwezi type kazi ya page let's say 3 kwa kutumia simu... Hata udogo tu wa screen utaleta kero kwako. Tafuta laptop na iwe screen kubwa tu sio ununue vi-minlaptop.

Chukua laptop achana na simu.
 
TAFUTA SIMU INAITWA POCCO 3 inatengenezwa na xiamon hautajutia ,betri, Ram ,storage na camera kali zenye mega pixel 28 kwa 48 ukiwa nayo itakufaa sana
 
Back
Top Bottom