aina gani ya laptop na specification zake?Kwa matumizi hayo laptop ni bora zaidi kusomea na kiperuzi mtandaoni + kutype assignments
Mimi sio mjuzi sana wa hayo mambo, hua naangalia muonekano wake ikinivutia na kama iko ndani ya budget nanunua.aina gani ya laptop na specification zake?
Cut half of your budgetNipo chuo fran hivi..nimetenga bajeti tsh laki tano badara ya kununua laptop natak ninunue simu ambayo nitweza itumia kwa matmizi mbalimbali mf kusoma pdf..naomba kufahamu simu gani naweza nunua kwa ajili yamatumizi ya mwanachuo.
Kwa laki tano anaweza pata mtumba wenye specification kamaaina gani ya laptop na specification zake?
Nipo chuo fran hivi..nimetenga bajeti tsh laki tano badara ya kununua laptop natak ninunue simu ambayo nitweza itumia kwa matmizi mbalimbali mf kusoma pdf..naomba kufahamu simu gani naweza nunua kwa ajili yamatumizi ya mwanachuo.
Nipo chuo fran hivi..nimetenga bajeti tsh laki tano badara ya kununua laptop natak ninunue simu ambayo nitweza itumia kwa matmizi mbalimbali mf kusoma pdf..naomba kufahamu simu gani naweza nunua kwa ajili yamatumizi ya mwanachuo.
Mkuuu nilikua ni wazo hili la kununu note 10 Samsung..ila hera haitoshi..only nina laki tanoMkuu Kama pesa kwako sio shida basi nunua simu Kama Samsung s10 au note 9 dukani nafikili ni used abroad ila charge mzee Baba haikai sana kiivyo.
Lakini kama ni mtu wa kuzichanga then ndo inaikamata hiyo 500k nakushauri nunua laptop ya mtumba ya 300k yenye ram 3 na hdd 300gb kisha utabaki na change ya 200k chukua ka Samsung A series kenye 4G network na storage 32.
Hapa asignment unafanya kwa laptop na simu inakusaidia kuperuzi internet.
Ukichukua huu ushauri wangu utakuja nishukuru
Ushauli=UshauriNipo chuo fran hivi..nimetenga bajeti tsh laki tano badara ya kununua laptop natak ninunue simu ambayo nitweza itumia kwa matmizi mbalimbali mf kusoma pdf..naomba kufahamu simu gani naweza nunua kwa ajili yamatumizi ya mwanachuo.
Mkuu nimeipenda hii.
HeraMkuuu nilikua ni wazo hili la kununu note 10 Samsung..ila hera haitoshi..only nina laki tano
FranNipo chuo fran hivi..nimetenga bajeti tsh laki tano badara ya kununua laptop natak ninunue simu ambayo nitweza itumia kwa matmizi mbalimbali mf kusoma pdf..naomba kufahamu simu gani naweza nunua kwa ajili yamatumizi ya mwanachuo.
Uto..ndio kitu gani?Hera
Fran
Elimu yetu ni changamoto sana kama mtu anayejiita mwanachuo anaandika uto wa namna hii
Uto ni utopoloUto..ndio kitu gani?
Mkimaliza uandishi, mtakuja kwenye mwandiko.
Kiufupi tuheshimiane tu
sasa si ungeandika Yanga tu instead of Utopolo ili kupunguza ukali wa neno.Uto ni utopolo
Nani hajamuheshimu mwenzake?
🤣🤣sasa si ungeandika Yanga tu instead of Utopolo ili kupunguza ukali wa neno.