elia mgina
Member
- Dec 29, 2011
- 27
- 2
Excuse me mdau!! Mimi in fresh teacher sasa, sijui hawa jamaa (Halimashauri husika) wanatakiwa watoe pesa kiasi gani kwa ajili ya mwajiliwa mpya kujikimu. maana nimeuliza kwa baathi naombiwa majibu mengi sasa nimeshindw lipi ni kweli basi nimeamua kuja hapa JF kuondoa utata na kupata data kamili kwani nasikia usipo kaa vizuri unaweza kuchakachuliwa pia katika hiyo pesa ya kujikimu.
I VALUE & APPRECIATE YOUR IDEAS!!
"MUCH THANKS"
I VALUE & APPRECIATE YOUR IDEAS!!
"MUCH THANKS"