Nchaby
JF-Expert Member
- Aug 12, 2013
- 797
- 259
Hi....JF,kuna msichana ambaye nimefahamiana nae zaidi ya mwaka sasa,cha ajabu amekuwa akinitamkia anataka nimuoe,nimejarb kumueleza kuwa na mpenzi wangu lakini hanielewi amediriki kumwambia mama yangu,lakn alichijibiwa na mama kuwa maamuzi ni yangu na wala yeye hana nafasi katika moyo wangu,nashindwa nifanye nn ili aniache kwani nahsi atanivurugia uhusia nilionao kwa sasa
Inaonekana uwezo wako wa kufikilia bado uko chini sana! Hivi umri wako ni miaka mingapi vile?
Yaani jambo dogo sana kama hilo umeshindwa kulipatia ufumbuzi mpaka ulilete huku JF!!!
Jibu la tatizo hilo unalo mwenyewe. Umtongoze mwenye, umdanganye danganye mwenyewe kisha uje unalialia huku jf eti anataka nimuoe!
Nani kakutuma umdanganye? Yeye ni mpuuzi aibuke from nowhere aseme anataka umuoe!
Kamalizane nae tafadhari na uache kulialia hapa jukwaa la the great thinkers.