thadey makusilo
Member
- Oct 31, 2013
- 46
- 11
Hi....JF,kuna msichana ambaye nimefahamiana nae zaidi ya mwaka sasa,cha ajabu amekuwa akinitamkia anataka nimuoe,nimejarb kumueleza kuwa na mpenzi wangu lakini hanielewi amediriki kumwambia mama yangu,lakn alichijibiwa na mama kuwa maamuzi ni yangu na wala yeye hana nafasi katika moyo wangu,nashindwa nifanye nn ili aniache kwani nahsi atanivurugia uhusia nilionao kwa sasa