Naomba ujibu hili swali..

Naomba ujibu hili swali..

Easymutant

R I P
Joined
Jun 3, 2010
Posts
2,564
Reaction score
1,135
[h=6]NAOMBA MNISAIDIE WATU WANGU JE ;TANZANIA KUNA VIONGOZ WANGAP WALIO NA AKILI TIMAMU[/h]
Nimefanya kucopy na kupaste tu.....
 
... Despite the old saying, 'Don't take your troubles to bed', many men still sleep with their wives!! ... Baada ya kusema hayo tusubiri Wenye Fikra KUBWA zaidi waje watoe mitizamo mikubwa!!
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Mmh mhm da! wachache lakini hawapewi nafasi hiyo katika maamuzi!
 
Is it possible tukatumia demokrasia yetu kuchagua viongozi wasio na akili timamu?? Kama ndivyo basi sote hatuna akili timamu
 
wote wanazo akili timamu, isipokuwa wanajua wafanyayo.NI MIRADI YAO!
 
wenye akili timamu wako kwenye utendaji, kisiasa, mhhhhh hakuna mkuu kuanzia jemedari wao mpaka chini na vizazi vyao vyote
 
Back
Top Bottom