cleokippo
JF-Expert Member
- Dec 21, 2014
- 2,072
- 1,697
Nawasalimu kwa jina la jamuhuri ya muungano wa Tanzania,
Kwa wale wataalam wa smart watch naomba mnijuze hapa, hivi hizi saa huwa hazi display muda kwenye display yake hapa mpaka ubonyeze batan ya pemben au kuna setting ya kuifanya i display time muda wote?
Maana nina saa moja hapa naona ipo faint tu kwenye kioo mpaka nikibonyeza batan ndio ina display time yaan kwenye kioo kama kuna screensaver fulani hivi.
Kwa wale wataalam wa smart watch naomba mnijuze hapa, hivi hizi saa huwa hazi display muda kwenye display yake hapa mpaka ubonyeze batan ya pemben au kuna setting ya kuifanya i display time muda wote?
Maana nina saa moja hapa naona ipo faint tu kwenye kioo mpaka nikibonyeza batan ndio ina display time yaan kwenye kioo kama kuna screensaver fulani hivi.