Naomba ufafanuzi wa dawa hii

Naomba ufafanuzi wa dawa hii

Nna tatizo la sikio la kulia halisikii kabisa,nikawa nimepewa rufaa kwenda bugando.Nikaonana na docter bingwa wa masikio,akalichunguza akaniandikia hivi vidonge 60 kila siku kimoja.nilitumia lakini sikupata nafuu mpaka Leo.
Mimi nimepewa pia kwa ajilinya sikio lakn langu haliumi linaziba na kupiga makelele hasa usk
 
Back
Top Bottom