Habari za Majukumu. Huwa nasikia hii shughuli ya udalalai wa mahakama. Kuhusu usajili nimeshapata taarifa lakini kwa wanavyofanya kazi naomba wenye uzoefu nayo ama wanaoifanya ama wenye ABC zake tujuzane. Lengo ni kujua kuna mazingira gani ya kuifanya kwa ajili ya kujikwamua kimaisha.
ASANTENI
ASANTENI