Muhimbili wanatoa hiyo huduma. Sio chini ya 40M.Habarini Wana jukwaa. Naomba kwa mwenye taarifa juu ya operation za cochlear implant surgery kwa Tanzania na gharama yake na hospitals zinazotoa huduma hii pia anijulishe kwa upana zaidi.
😳😳🙄 WeweMuhimbili wanatoa hiyo huduma. Sio chini ya 40M.
Inategemea na umri wake, kiwango cha shida yake ilivyo, life style yake. Japo kurudisha usikivu 100% ni ngumu sana.Kama lengo ni kuponya suala la usikivu naona uache tu mkuu wangu