Naomba ufafanuzi kuhusu hili

Naomba ufafanuzi kuhusu hili

NCHABIRONDA

JF-Expert Member
Joined
Jun 6, 2011
Posts
298
Reaction score
108
Mara nyingi nimekuwa nikiwasikia watu wanaongelea hili neno G-SPOT eti kwamba ni kiungo cha mwanamke kilichoko kwenye uke wake. Wanadai kwamba hicho kiungo ndo kinampa mwanamke msisimko katika suala zima la maandalizi kabla hamjaanza game, naombeni wadau wenye utalam wa mapenzi mnieleweshe hiyo G-SPOT iko maeneo gani mbona mimi nikiwa na shemeji yenu najaribu kuitafuta hiyo G-SPOT lakini siioni. Naombeni ufafanuzi wadau
 
natumaini wewe ni mkongwe humu jf labda useme huwa hupitii nyuzi zilizoko humu ndani,
 
known as grafenberg spot located at the 1.27 cm to the upper loof the orifice
 
Mara nyingi nimekuwa nikiwasikia watu wanaongelea hili neno G-SPOT eti kwamba ni kiungo cha mwanamke kilichoko kwenye uke wake. Wanadai kwamba hicho kiungo ndo kinampa mwanamke msisimko katika suala zima la maandalizi kabla hamjaanza game, naombeni wadau wenye utalam wa mapenzi mnieleweshe hiyo G-SPOT iko maeneo gani mbona mimi nikiwa na shemeji yenu najaribu kuitafuta hiyo G-SPOT lakini siioni. Naombeni ufafanuzi wadau
Mlaze kifo cha mende, akunje magoti ingiza kidole cha kati utaishika
maelezo mengine nakuandikia kwenye karatasi....
 
Maswali ya kipuuzi huulizwa na wa puuzi, pia wayajbuyo huwa kund moja na hao waitwao wapuuzi. wenzenu wanajibidiisha kutawala kiuchum nyiny kil a mkikaa mbele ya keyboard mnawaza uzinzi na zinaa enyi kizazi cha zinaa, ni nani atakaye waokoa na hukumu ya MUNGU iliyotayari kuujia ulimwengu kwa kugeuza nia za mioyo yenu!
 
inauzwa supamaket.....kanunue then umwekee....hutahangaika tena kuitafuta
 
Maswali ya kipuuzi huulizwa na wa puuzi, pia wayajbuyo huwa kund moja na hao waitwao wapuuzi. wenzenu wanajibidiisha kutawala kiuchum nyiny kil a mkikaa mbele ya keyboard mnawaza uzinzi na zinaa enyi kizazi cha zinaa, ni nani atakaye waokoa na hukumu ya MUNGU iliyotayari kuujia ulimwengu kwa kugeuza nia za mioyo yenu!

Mapanga3 umekosea njia' rudi ulikotokea' then tafuta njia inayokufaa!!

Alafu toka umeanza kuwaza hayo tupe mrejesho na mafanikio yako' vinginevyo nawewe niwalewale tu!
 
Maswali ya kipuuzi huulizwa na wa puuzi, pia wayajbuyo huwa kund moja na hao waitwao wapuuzi. wenzenu wanajibidiisha kutawala kiuchum nyiny kil a mkikaa mbele ya keyboard mnawaza uzinzi na zinaa enyi kizazi cha zinaa, ni nani atakaye waokoa na hukumu ya MUNGU iliyotayari kuujia ulimwengu kwa kugeuza nia za mioyo yenu!

umefuata nini humu?
 
Mlaze kifo cha mende, akunje magoti ingiza kidole cha kati utaishika
maelezo mengine nakuandikia kwenye karatasi....

Asante mkuu ngoja leo niandae muda wa kutosha kabisa mpaka nihakikishe naipata hiyo G-SPOT
 
Back
Top Bottom