jose mjasiriamali
JF-Expert Member
- Sep 17, 2014
- 1,746
- 1,531
Habari wadau
Nina mdogo wangu ambae alipata jipu karibu na shavu alifanyiwa upasuaji hospital akapona ila sehemu aliyoshonwa ikawa na uvimbe.
Alirudi Tena hospital wakamwandikia sindano inaitwa triam alichomwa sindano sita kwa wiki alichomwa sindano moja uvimbe ulipungua ila tatizo linakuja ile sehemu aliyoshonwa ikawa inabadilika rangi Kama inavyoonekana kwenye picha hapo chini.
Sasa nilikuwa naomba msaada humu kwa anayefahamu tatizo litakuwa ni Nini na namna ya kulitibu maana kila siku ni kama eneo linalobadilika linaongezeka.
Natanguliza shukrani zangu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nina mdogo wangu ambae alipata jipu karibu na shavu alifanyiwa upasuaji hospital akapona ila sehemu aliyoshonwa ikawa na uvimbe.
Alirudi Tena hospital wakamwandikia sindano inaitwa triam alichomwa sindano sita kwa wiki alichomwa sindano moja uvimbe ulipungua ila tatizo linakuja ile sehemu aliyoshonwa ikawa inabadilika rangi Kama inavyoonekana kwenye picha hapo chini.
Sasa nilikuwa naomba msaada humu kwa anayefahamu tatizo litakuwa ni Nini na namna ya kulitibu maana kila siku ni kama eneo linalobadilika linaongezeka.
Natanguliza shukrani zangu.
Sent using Jamii Forums mobile app