Ndugu zangu habari zenu mm ni kijana nliehitimu masomo ya kidato cha NNE 2016 naomba ufadhili ili niweze kusoma clinical medicine mwaka huu kutokana familia yangu kuwa duni
Nitashindwa kumudu gharama za masomo kwa yeyote mwenye uwezo wa kunisaidia au kama unajua taasisi yoyote inayotoa mikopo kwa diploma naomba unisaidie ili nitimize lengo langu LA kua daktari wa jeshi naombeni msaada wenu na ushauri kwenu
Ufaulu wangu nikama ifuatavyo
Civics-c
History-c
Geography-c
Kiswahili-c
English-c
Physics-c
Chemistry-c
Biology-c
Mathematics-d
Nitashindwa kumudu gharama za masomo kwa yeyote mwenye uwezo wa kunisaidia au kama unajua taasisi yoyote inayotoa mikopo kwa diploma naomba unisaidie ili nitimize lengo langu LA kua daktari wa jeshi naombeni msaada wenu na ushauri kwenu
Ufaulu wangu nikama ifuatavyo
Civics-c
History-c
Geography-c
Kiswahili-c
English-c
Physics-c
Chemistry-c
Biology-c
Mathematics-d