Michael evarist
Member
- Jun 28, 2021
- 5
- 6
Ndugu wana JF pole na majukumu yenu ya Kila siku.
Nina Jambo naomba kufahamishwa kwa wale wa taalam , unapoanza kusoma cours yeyote inayo husu Uxereva mathalani Advanced driving grade two (V.I.P), Utaambia kabla hujaanza huwa panakuwa na test.
Naomba kujua hiyo test inahusu Nini haswa? Na pia ni vitu gani vya kuzingatia unapo Soma course hii?
Nina Jambo naomba kufahamishwa kwa wale wa taalam , unapoanza kusoma cours yeyote inayo husu Uxereva mathalani Advanced driving grade two (V.I.P), Utaambia kabla hujaanza huwa panakuwa na test.
Naomba kujua hiyo test inahusu Nini haswa? Na pia ni vitu gani vya kuzingatia unapo Soma course hii?