kabanga
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 37,204
- 18,473
Na kuzaa kuna gharama....Nitumie na ya kutolea
Na kuzaa kuna gharama....Nitumie na ya kutolea
umeongea ukweli kbsMwanamke anayo akili kubwa ya maisha kuliko mwanamme. Hawa watu wanacalculate mambo yao kwa uwezo mkubwa.
Soft psychology inawapa uwezo mkubwa wa kumdanganya mwanamme. Na kwa ujinga wa mwanamme kumuona Mwanamke kama mama yake hadi kufika hatua ya kumuita mke wake Mama inamcost sana.
Men Be careful with women . You must have some elements of Hatred towards these people, a little hatred indeed.
Sent from my iPhone using JamiiForums
mkuu unabonyea wkt umeachiwa goli wazi ufunge kimadoidoIlishanitokea hiyo
Mi nlimwambia sina mpango wa kuoa kwa sasa akaniambia nimpe mimba tu atalea mwenyewe
Alivyonambia ivyo kuanzia siku hiyo nikawa sipigi kavu
Ukute hata Zenji yenyewe huijuiIlinitokea hiyo ,nilijiuliza maswali mengi sana magumu, mtoto atalelewa vipi bila baba, jibu nikaona naingizwa mkenge, nikapotezea
Sent
ndo inavokuwa hawa hawaji tu kichwakichwa anakuwa keshakupimia kimshahara chako kwanza ndo anakuja na hizo porojo za eti mzae tu atalea mwenyewe.Wadada wa mjini ndo zao wanaku-approach eti tuzae tu (sperm donor) hasa Wanaume walio kwenye ndoa. Halafu eti hatakusumbua, haipogo hivyo Wakulungwa ukijichanganya ukazaa naye utajutraa.
NB: Kabla hufanya Risk assessment kulingana na kipato chako, hawaji kichwakichwa, so kama Huna hela hawa utawasikia kwa wenye hela tu.
Hahahah dahBadae anakubadilikia na kwakua ni Siri atakutishia kwenda kumwambia mkeo,, ukijaribu kumzuia anakupa mashart ya kutekeleza kabla hajakisanua,, hapo ndo kipindi utakachoona ni dizai gan pesa inapitia kwako kama daraja tu
Bonge alimkwepaje huyo demu?Duh hii imenikumbusha mshkaji wetu bonge alijimix akamnyea mdada gan cjui uko kitaa...wee wee we...dada alikuwa anatimba maskan full makelele yupo na mtoto mgongoni...daah aya mambo yasikie tu kwa jiran
Eti inapita kama daraja tuBadae anakubadilikia na kwakua ni Siri atakutishia kwenda kumwambia mkeo,, ukijaribu kumzuia anakupa mashart ya kutekeleza kabla hajakisanua,, hapo ndo kipindi utakachoona ni dizai gan pesa inapitia kwako kama daraja tu
Usijichanganye kwa mmachameUkijichanganya tu utajuta