Naomba Tasfiri ya Hii Picha

Amavubi

JF-Expert Member
Dec 9, 2010
30,142
13,216
Picha-na-8%2B(1).jpg


Q. Aina ya saluti-tizama mikono kwa makini sana

2. tofauti ya kofia

tofauti ya beji
 
Sijaelewa tafsiri ipi ila kama ni upigaji saluti sahihi ni ya huyo SACP na huyo wa Magereza tu hao wengine mbwembwe tu na manjonjo......Kwa Tz lakini hao wengine sielewi
 
nimefafanua aina ya tafsiri soma yote ila saluti ni mojawapo
Sijaelewa tafsiri ipi ila kama ni upigaji saluti sahihi ni ya huyo SACP na huyo wa Magereza tu hao wengine mbwembwe tu na manjonjo......Kwa Tz lakini hao wengine sielewi
 
Hata sijaelewa kitu kwenye hii thread. Chondechonde members wenzangu wa JF, tunapopost mada, tuwe tunajitahidi kufanya ujumbe tunaotoa ueleweke kiurahisi na kwa furaha ili kuwafanya wasomaji wapate kitu cha kujifunza ambacho kitadumu kizazi hata kizazi.
 
Hata sijaelewa kitu kwenye hii thread. Chondechonde members wenzangu wa JF, tunapopost mada, tuwe tunajitahidi kufanya ujumbe tunaotoa ueleweke kiurahisi na kwa furaha ili kuwafanya wasomaji wapate kitu cha kujifunza ambacho kitadumu kizazi hata kizazi.
Sio kila kitu utafuniwe wakati mwingine unatakiwa kushughulisha ubongo...ndo maana watz maisha yanatushinda....kila kitu tunataka rahisi rahisi tu..
Huyu naye anakinga mwanga wa jua...ili aangalie vizuri kama kuna tai au ndege wakubwa wanakuja...yuko zamu...yaani nawapenda sana viumbe hawa, wako 'smart' sana...
 
Picha-na-8%2B(1).jpg


Q. Aina ya saluti-tizama mikono kwa makini sana

2. tofauti ya kofia

tofauti ya beji
Hapa hakuna aliyepatia kwa usahihi (100%) upigaji wa saluti kwa askari wa Tanzania. Saluti sahihi ni kiganja kiwe usawa wa jicho la kulia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom