Naomba taarifa fupi kutoka NIDA

Naomba taarifa fupi kutoka NIDA

Antony Abel

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2017
Posts
264
Reaction score
142
Nimejiandikisha katika kijiji cha Bungoma, kata ya Mkindo, wilaya ya Mvomero, mkoa wa Morogoro.

Nahitaji kufaham ni lini tunavipata vitambulisho vya taifa?
Maana nahitaji kusafiri kuelekea nnje ya nchi.
 
Sisi huku Iringa wamekuja wakatuandika toka mwaka jana na mpaka leo hii kimya. Wanajeshi waliokuwa wakiandikisha walikuwa na mikwala balaa. Kuna dogo mmoja alileta za kuleta kwenye zoezi wakamchukua, walipomrudisha jamaa alikuwa kama tangawizi jinsi alivyojaa tope. Wanairinga tukajua wiki mbili tu tunapata vitambulisho. Cha kushangaza mpaka leo kimya.
 
Nimejiandikisha Toka mwaka jana sijaona kitambulisho changu.
 
ni vyema kufuatilia kwenye ofisi husika ya mtendaji wa kijiji/mtaa ulipojiandikisha unaweza pata majibu ya maswali yako.
 
Sasa mkuu kwani ukitaka kusafiri nje ya nchi lazima uwe na kitambulisho cha taifa? Kakate hati za kusafiria kwanza ofisi za uhamiaji
 
Sisi huku Iringa wamekuja wakatuandika toka mwaka jana na mpaka leo hii kimya. Wanajeshi waliokuwa wakiandikisha walikuwa na mikwala balaa. Kuna dogo mmoja alileta za kuleta kwenye zoezi wakamchukua, walipomrudisha jamaa alikuwa kama tangawizi jinsi alivyojaa tope. Wanairinga tukajua wiki mbili tu tunapata vitambulisho. Cha kushangaza mpaka leo kimya.
hahaaaa umenikumbusha hili ndugu yangu nilikua sehemu fulani mkoani iringa mwaka jana disemba kipindi hilo zoezi linaendelea wanajeshi walipiga vijana walionyoa viduku wenye milege aiseee walichimba mkwara sana wale jamaa ila hafi leo hakuna vitambulisho wala nn
 
Yupo sawa anahitaji kitambulisho cha taifa ili akatoe passport mpya kuanzia sasa hutapata passport kama huna kitambulisho cha taifa
 
Nimejiandikisha katika kijiji cha Bungoma, kata ya Mkindo, wilaya ya Mvomero, mkoa wa Morogoro.

Nahitaji kufaham ni lini tunavipata vitambulisho vya taifa?
Maana nahitaji kusafiri kuelekea nnje ya nchi.
Nenda ofisi za NIDA utapata taarfa za kina zaidi nadhani wapo kila mkoa.
 
CAG ameibua madudu huko NIDA sijui kama mchakato hautaanza upya. Kuna uwezekano watu vibarua vikaota nyasi
 
hahaaaa umenikumbusha hili ndugu yangu nilikua sehemu fulani mkoani iringa mwaka jana disemba kipindi hilo zoezi linaendelea wanajeshi walipiga vijana walionyoa viduku wenye milege aiseee walichimba mkwara sana wale jamaa ila hafi leo hakuna vitambulisho wala nn
Mkuu kuna huyo mmoja sitamsahau walimgalagiza kwenye tope alitoka kama Tangawizi iliyovunwa shambani.
 
Sasa mkuu kwani ukitaka kusafiri nje ya nchi lazima uwe na kitambulisho cha taifa? Kakate hati za kusafiria kwanza ofisi za uhamiaji
Hatapewa passport mpya kama hana kitambulisho cha uraia.
 
Back
Top Bottom