Naomba sana mnisaidie

Ni pm nna imani naweza kukusaidia tena sana.
 
Usiogope,here in JF we dare to talk openly,pole sana kwa mkasa ulokukuta.
 

U cn pm me
 
Pole sana ni Pm kwani mi ni mtaalamu wa mambo ya ushauri.Najihisi wajibu kukusaidia

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 

Ushauri ndio kazi inayonipa kula kila siku. Maoni ni kwamba, kwa kuwa hatuwezi kubalance tatizo lenu hapa kwa kupata maelezo ya upade wa pili basi jitahidi kuwa mkweli ili kupata ushauri sahihi.

Twende kazi
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…