stevhinoz
JF-Expert Member
- Jun 15, 2021
- 216
- 480
Habari ndugu zangu!
Kuna sehemu nafukuzia mchongo ni international NGO agency ya UN....ila nimepata changamoto kidogo maana nimeambiwa hawapokei application letters maana ni position ya consultancy.
Mimi sina uzoefu na kuomba consultancy hivyo basi nahitaji mwenye sample ya proposal ya kuombea consultancy anisaidie ili niweze kui-customize nifanye application.
nitumie kwa email yangu stephvnnn@gmail.com
THANKS in advance!
Kuna sehemu nafukuzia mchongo ni international NGO agency ya UN....ila nimepata changamoto kidogo maana nimeambiwa hawapokei application letters maana ni position ya consultancy.
Mimi sina uzoefu na kuomba consultancy hivyo basi nahitaji mwenye sample ya proposal ya kuombea consultancy anisaidie ili niweze kui-customize nifanye application.
nitumie kwa email yangu stephvnnn@gmail.com
THANKS in advance!